Kufuatia kifo cha Mbunge Amina Chifu, maswali mengi yamejitokeza hapa Dar es Salaam pamoja na vitongoji chungumzima vya Tanzania yetu, kweli kuna wengi waliosema kuwa alipwa na shoku kubwa baada ya kuachwa na mumewe hali iliyosababishwa kupata presha.
mbunge huyo aliyekuwa kipenzi cha vijana...
Jamani!
Wananchama na wapenzi wa Jambo Forum kwanza ningependa kujitambulisha mimi binafsi ni Bw. Kiona na ubin wangu ni Mbali, hivyo unaweza kutamka jina langu kamili ni Bw.Kiona Mbali.
Lengo la kuingia katika hii forum ni kuweka mtazamo wa kesho kitatokea nini? wakati wengi wetu humu ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.