Hofu ya butiku ,UKAWA wakishinda Nyerere foundation watakosa ruzuku ,naye atakula wapi ,pia hakujiandaa kama wakina warioba wenye magetto makali huko osterbay ,lakini ukweli ni kwama haipendi CCM .
Hii ni aibu ya karne kwa chombo cha Habari cha uma kama hichi ku report Habari ki juha namna hii ,nadhani mtangazaji hata kama umepewa maelekezo ni vizur ukazingatia utashi na weledi wa professional yako ,maana unaonekana ni juha hata hujui unalo fanya ,isitoshe wewe ni mtumishi unaye lipwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.