Recent content by kinyangesi

  1. K

    Kanuni za ndoa za kisasa.

    Mnagawa vyombo
  2. K

    Kanuni za ndoa za kisasa.

    Anaandika mkuu wa kaya! Kinyangesi. _______________________ Kanuni ya ndoa za sasa: Mwaka wa kwanza: mume anaongea mke anasikiliza, Mwaka wa pili: mke anaongea mume anasikiliza, Mwaka wa tatu: mume anaongea na mke anaongea majirani wanasikiliza, Mwaka wa nne: mume anaongea, mke anaongea...
  3. K

    Nakukumbusha mambo 50 kuhusu mkeo

    Hahahaa! Fumbo hilo
  4. K

    Wanawake muelewe, sio kila mwanaume anayekupa hela anakutaka kimapenzi

    Huu uzi sio sehemu ya kuombea nafas za pm
  5. K

    Wanawake muelewe, sio kila mwanaume anayekupa hela anakutaka kimapenzi

    HISTORIA YENYE MAFUNZO JIFUNZE KITU. Kuna mdada alikutana na mkaka wakat wako safarini, yule kaka akamuomba mdada namba ya simu njian akamnunulia kila kitu alichotaka, alipofika stand mkaka akamlipia usafiri mpaka home kwao alikokuwa abaelekea. Basi wakawa wanawasiliana kila siku. Siku nyingne...
  6. K

    Kwa wanaume wenzangu tu!!

    Hahahaa! Utajikuta unaimaliza jamhuri yote ya muungano
  7. K

    Kwa wanaume wenzangu tu!!

    Swali limeshajibiwa
  8. K

    Kwa wanaume wenzangu tu!!

    Hahahaa! Sie wahenga bhana
  9. K

    Kwa wanaume wenzangu tu!!

    Uwe na option B
  10. K

    Kwa wanaume wenzangu tu!!

    Qurie nani kakuita huku lakini? Kwani story imeandika walichepuka na mbuzi? Lengo la story ni kuelimisha sio uchambuzi wa wahusika. Eboh!
  11. K

    Kwa wanaume wenzangu tu!!

    Qurie nani kakuita huku lakini? Kwani story imeandika walichepuka na mbuzi? Lengo la story ni kuelimisha sio uchambuzi wa wahusika. Eboh!
Back
Top Bottom