Recent content by kinyamkela mahaba

  1. K

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI | Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete: Nilipata nafasi ya kukaa na Rihanna lakini sikupewa picha zangu

    Kwani ni kosa kikatiba? Wapi katiba imesema ni kosa? Sheria zipi za kimataifa zinasema alichofany ni kosa kisheria??? Otherwise, una wivu wako tu... Unatamani huyo waziri wa uganda ungekuwa wewe
  2. K

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI | Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete: Nilipata nafasi ya kukaa na Rihanna lakini sikupewa picha zangu

    Sorry, mkuu ulitaka akukule wewe? Mbna kama una wivu na jk?
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Supu nilikula nao kwanini wanishike mkono?

    Abari za muda ndugu zangu Nyumbani naonatu pamekuwa pabovu mno... Toka jana yani Jana nilinunua kilo mbili za nyama, nikamuambia mama mtu anitengee kilo anipikie supu ninywe, kisha inayobaki wale yeye na wanaye wawili kwakua inawatosha Basi nikatengewq mezani. Kwa kua mimi ni baba nikawaita...
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hanijibu

    Ama kweli kua uyaone,nilijuwa magorofa. Ni siku ya pili leo hii tunakula milo miwili baada yamambo yangu kukwama kidogo. Hanipi unyumba na hanijibu kwachochote.ingawa milo tunakula ni miwili,ila haiwezi kuwa sababu yamimi kunyanyasika hivi Jana tukala mchana na jioni,asubuhi akanywa maziwa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Waliobaini kuwa watoto si wao wataka taarifa zifutwe

    Hata hakuna moto. Hakuna tajiri fala... hao wanaume ni masikini waliobahatisha vicent tu...!
  6. K

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Waliobaini kuwa watoto si wao wataka taarifa zifutwe

    MAFALA NDIYO WANAOLIWA. UNAKUWAJE NA PESA THEN UNAKUWA MSHAMBA? HAO NI MASIKINI TU WENYE VICENT, HAKUNAGA TAJIRI FALA. MARK THAT LAST WORD!
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ni wapi kwa Dar es Salaam/Kariakoo wananunua laptop?

    30 min
  8. K

    JamiiForums Tanzania Ni wapi kwa Dar es Salaam/Kariakoo wananunua laptop?

    300K tu
  9. K

    JamiiForums Tanzania Ni wapi kwa Dar es Salaam/Kariakoo wananunua laptop?

    Bandugu kwema? Nina laptop naiuza. Ina ram 8GB, HDD ni 500, CPU ni 2.4GHz ni Hp. Kwa Dar ni wapi wananunua laptop used? Adapter yake ipo pamoja na battery.
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada nateketea. Mba wananisumbua baada ya kunyoa.

    Am going breafly! Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu. Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga. Asanteni
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimenyimwa namba kutoka kwa huyu binti na sijui kwa nini

    Nimechoka sana. Jumamosi nilikwenda barber shop moja hapa jijini. Pale nilikutana na hostess mmoja aliyenipokea kwa kunichangamkia sana Nikaingia na kuanza kunyolewa... sasa wakati kinyozi ananinyoa nilikua nampiga jicho huyu hostess aliyekuwa kwa nje Yeye alikuwa ana access ya kuona...
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

    Ulikuwa lisenge eeh
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

    Na vipi siku mke anapotea watoto wataishi vipi? Naye mke aandike majina ya watoto kwenye mali zake, siyo majina yake.
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

    Kuanzia leo kwa utu wako huu, naanza kukuheshimu mkuu. Samahani kwa popote tulipokwazana.
Back
Top Bottom