Mm kwel nilishafika apo kutokana na matangazo ya msomali apa nikajua bas ni ofcs kumbe ushuzi mtupu hv kwel na elimu yangu nikae na msomali uchwara apo si bora niende kwenye Duka la mangi atleast lina formalities
Eti kazi za uhasibu hiv ww msomal koko unajua uhasibu wewe hizo operation zako hapo hata duka la Mangi linakuzid unataka uajir mhasibu....
Au ilimradi ututishe nawe umo si umpe huyo faizer akushikie hiyo hela[emoji3][emoji3]
Hiyo ofc yenu haina hadhi kuweka bango kutafuta watu eti tena wenye expeirence tafuten house girl muwape hizo kazi
Mnatutangazia ili tujue nayie mna ofc kumbe mavi matupu
Ni kwel mafegi yalinikwaza sanaa
Ila sio official office kama anavyotangaza hapa hata kama atakuajiri inawezekana ikawa kakuajiri kama housegirl ni sehemu ambayo hamna mfumo wowote ... Hapo anapokuambia mnafanya orietation week hapo ndo anapokufukuza kwani
1. Jamaa ni mjuaji balaa kila kitu...
Mkuu mimi alishaniingiza chaka nilienda siku moja nafikir mwaka jana nilijua kwel ni taasis lkn nilifika jamaa yupo ome pembeni ndo kuna magofu ya hiyo taasisi
Jamaa anatokea chumban na ma fegi anakuhoji kwa dharau sanaa utafikir amepak gar apo njee
An sikushaur ata kama hiyo taasis itakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.