Recent content by Kinson

  1. K

    Utumwa unavyoendelea kutuumiza waafrika

    WAAFRIKA kiujumla kinachotudumaza ni UTUMWA ambao bado umebaki kwenye fikra zetu kuanzia nyanja za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni. Na kama taifa la Tanganyika tunahitaji ukombozi wa kifikra dhidi ya nini mahitaji yetu ya msingi, malengo yetu, na miongozo yetu kuyafikia hayo mahitaji...
  2. K

    Ee Mungu Baba Wasamehe maana hawajui watendalo! japo sasa wako moto sana! baada ya uchaguzi, sio kwisha habari yao?Sio watalia sana na kusaga meno?

    Mim sio bendera na kamwe siwezi kuwa mfuasi wa mwanasiasa yeyote ila nitamuunga mkono mwenye nia ya dhati kuisimamia kiapo chake alichoapa kuisimamia katiba na kulinda rasilimali za nchi, SIO WA KUTUCHEZEA SHERE
  3. K

    Ee Mungu Baba Wasamehe maana hawajui watendalo! japo sasa wako moto sana! baada ya uchaguzi, sio kwisha habari yao?Sio watalia sana na kusaga meno?

    Ninyi ndio mnaochochea machafuko Kwa kuwanyamazisha Kwa kifo wanaopinga hoja zenu, sas mtataka Kila siku mtumie hixo njia watu wawaangalie. BRO VITA VYA PANGA HAVIAMULIWI KWA FIMBO
  4. K

    Ee Mungu Baba Wasamehe maana hawajui watendalo! japo sasa wako moto sana! baada ya uchaguzi, sio kwisha habari yao?Sio watalia sana na kusaga meno?

    MSITUMIE NGUVU KUBWA Gharama ya maisha imepanda toka HANGAYA arithi madaraka alaf MAYALA NA UZEE WAKO tukategemea utakuwa wa kwanza kukaa na vijana na makundi ya wapiga kura wengine kuwaambia kwanin TIMU YA NYUMBANI haipaswi kuendelea kuongoza hii nchi. VIJANA TUNAOJIELEWA HATUNA CHUKI NA NYIE...
  5. K

    Ee Mungu Baba Wasamehe maana hawajui watendalo! japo sasa wako moto sana! baada ya uchaguzi, sio kwisha habari yao?Sio watalia sana na kusaga meno?

    KAMA LENGO LAKO NI UTEUZI SUBIRI 2026 watakuteua kuwa msemaji wa UMOJA WA WAKINA MAMA WA CCM
  6. K

    Ee Mungu Baba Wasamehe maana hawajui watendalo! japo sasa wako moto sana! baada ya uchaguzi, sio kwisha habari yao?Sio watalia sana na kusaga meno?

    NO REFORM NO ELECTION# USISEME BAADA YA UCHAGUZI SEMA BAADA YA UWANJA KICHAFUKA NYIE MASHABIKI WA TIMU YA NYUMBANI MTAIOATA NGUVU ILE YA MIGAMBO YENU KULINDA UHAI WA MITI YENU HADI NYUMBANI MANA NAJUA MAREFA NA VIP WATAHAMA UWANJA VIA VISA
  7. K

    Hapa nani kaingia kwenye mfumo?

    Ndio tupo tayar kupotez na yetu pia in WIN WIN SITUATION OR BOTH TEAM TO SCORE✌️✌️✌️
  8. K

    Ushauri: Akaunti zote za kanisa la Gwajima, na zile zake binafsi na za viongozi wote wa kanisa zigandishwe (frozen) ila kusubiri hatima

    Wew n mbwa kama walivyo mabwana zenu, kumfungia Gwajima ndio kujibu hoja za msingi za utekaji na ufisadi. TUPO TAYARI JINO KWA JINO NANYI HUU MWAKA mnajiona mkishakuwa Uvccm nchi n yenu. Sikilizieni milio sashv. Mzee Ali Kibao, Mdude damu zao mtazilipa Kwa gharama kubwa nyie kunguni. Uanze...
  9. K

    Mtu mmoja mwenye tamaa za tumbo anapoamua kuzuia haki za walio wengi kushiriki haki ya kuchagua!

    Usiseme dikteta uchwara. Wew ndio una njaa bila kujipendekez kw mabwana wenu CCM wanao hawaendi chooni. Ila kuibiwa Kodi na kupelekwa kweny matumizi binafsi ni mabwana zenu tu ndio wanafaid. Kam sahan ya ugali unaambulia ule upupu mdogo dogo. Alaf ukivimbiwa ndio unakuj kunya humu JF unasahau...
  10. K

    Walimu wasio na ajira wasakwa kama ndege na Jeshi la Polisi!

    Kikundi cha kihuni ni wew na mbwa wanaowatuma. AMA ZENU AMA ZETU HUU MWAKA
  11. K

    Huyu ndiye kiongozi na mgombea tunayetegemea atumie 'Neoclassical economics' na adadavue 'Complex Economic Boost Projects' Kuondoa umasikini Tanzania

    Kuna ndugu zangu walimu wamemaliza vyuo hawan ajira ikiwa serikali Yao inatumia vibaya vinavyokusanywa, na migandamizo katika ukusanyaj Yani buashara ndogo macertificate na maleseni kibao yote pesa. Muamze kumtumia ualimi wenu kuelimisha udhalimi wa fisiemu
  12. K

    Hii mbunga imekimbiwa awamu hii, watu wanaishi mjini

    Usizungumze usichokijua kabla hamjaamua kumlaumu kiongozi yeyote kwenye miundombinu na miradi inayoanzishwa jiulize dira ya maendeleo ya miaka mitano 2016-21 na 2021-26 unaifahamu. Kama hauifahamu jilaumu wew kwanza Kwa kutokujua dira ya maendeleo ambayo ilitumia Kodi Yako kutafuta wataalamu na...
  13. K

    PreGE2025 Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media

    CCM Kwa ujumla wao wanamuogopa Lissu kuliko mwanasiasa mwingine yeyote akiewahi kuwa upinzani toka Tanganyika ipate uhuru. Wanafahamu ni Simba ambaye haogopi vita na kukiwasha haogopi, waliweke akilini baada ya uchaguzi mkuu mwakan huu watamuelewa vizur wasitegemee watauchafua uchaguzi na...
Back
Top Bottom