Mkurugenzi wa TBL angehamia Tanesco kusingekuwa na tatzo la mgao wa Umeme cz ni mtendaj mzuri bia hazijawahi kuisha kabisa wala hana vijisababu vya ajabu ajabu. Ni mawazo yangu tu ya kiweekend
😜😜😜😜😜
kweli hata mimi nilisikia baada ya taarifa ya ukawa kuripotiwa ndivyo sivyo nikasepa kuendelea na largar bariiidiiii nakichinjio changu nimefunikia glasi ya bia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.