Recent content by Kinjeketile

  1. K

    Kwa hali hii kwa nini Heche usitete na Mbowe kuna ubaya gani ukachota busara

    Jukwaa la Siasa Pre GE2025 Ukimya wa Freeman Mbowe Chadema nao ni jibu Thread starterElias Msuya Start dateToday at 11:06 AM Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada) 1 of 2Next Last Jump to newSubscribe ••• E Elias Msuya Member Today at 11:06 AM Add bookmark #1...
  2. K

    PreGE2025 Ukimya wa Freeman Mbowe Chadema nao ni jibu

    Wanaopaswa kukiunganisha chama na kuvunja makundi baada ya uchaguzi ni viongozi waliopo madarakani, hiyo ndio kazi ya uongozi kuwaunganisha watu otherwise hata uongozi wa familia/ukoo hautouweza. Ili uweze kuwaunganisha watu lazima uwe msikivu kwa watu wako wote wanaounga mkono hoja zako na...
  3. K

    DOKEZO Alihukumiwa Miaka 30 jela kwa ubakaji miezi mitano iliyopita, leo tupo naye mtaani, hili limekaaje?

    Mwenye mtoto mwenyewe huna uhakika kama mtoto wako alibakwa ndiyo maana unasema mulimtuhumu. Sasa unataka mtu apigwe mvua 30 kwa tuhuma tu bila ya ushahidi wenye kueleweka?
  4. K

    Tetesi: Boniface Jacob (Boni Yai) yupo Dodoma, kuna nini?

    Kwa hiyo mmoja wa waasisi wa chama(Mwamba) ni masalia a.k.a masaliti mramba asali.:D:D:D
  5. K

    PreGE2025 Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

    Lisu airudishe familia yake Tanzania ili tuungane nayo kupigania mabadiliko kwa maandamano, vinginevyo kelele zitakuwa hazina maana kwa Watanzania. Tukishauana wanasiasa wanakaa chini na kugawana vyeo(nusu mkate) wanufaika kwanza ni hizo familia zao zilizoko Uberigiji, Marekani na Kanada...
  6. K

    Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke ninaetaka kumuoa nimebaini hajatulia

    Jamaa aliyekutumia hiyo video ni mpumbavu anayetaka huyo demu hasiolewe ili amcheke. Kwa uzoefu huyo ni bwana wake wa muda mrefu lakini alikuwa anazingua kumuoa huyo demu,yaani alikuwa anampiga kalenda huku anampenda. Sasa demu kachoka kalenda zake umetokea wewe upo serious na ndoa akaamua...
  7. K

    Mwaka 1989 ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kutapeliwa jijini Dar es Salaam

    Utapeli wa baiskeli wa aina hii ulikuwa Common sana. Hata wale wa koni walitapeliwa pesa, koni na baiskeli.
  8. K

    Mwaka 1989 ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kutapeliwa jijini Dar es Salaam

    Huu utapeli walipigwa sana wauza mayayi na koni miaka hiyo 90s. Wanajifanya waganga wanakusugua utosini unatoka moshi au unatema nywele wanakuambia umelogwa , wanakuambia acha vitu vyako vyote pesa,mayai au koni halafu nenda kachote mchanga kule uje nao ili tukutibu. Ukianza kwenda tu jamaa...
  9. K

    Saikolojia ya Mtanzania ikoje? Kwanini wengi hushangilia kiongozi anapoonesha au kufanya jambo la kikatili?

    Upo sahihi. Lengo la chama cha siasa ni kushika dola kupitia sanduku la kura, ili upate kura lazima uonyeshe udhaifu wa yule anayeongoza(Raisi ). Raisi ana majeshi na mabunduki sasa akiwa dhaifu kweli atamshughulikia kila anayemkosoa na kumkejeli. Kwa maandishi yako haya ingekuwa kwenye utawala...
  10. K

    The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

    Nani alipaswa kuwa raisi kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
  11. K

    Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

    Hao ni Majahili(Wajinga/Wapumbavu) tu wa Uislamu. Amesema Mtume Wa Allah" Umeanza Uislamu ukiwa mgeni na utaendelea/rejea kuwa mgeni basi hongera kwa wageni" Hao wanachanganya mila zao za mizimu kama Yericko Nyerere na Uislamu. Huyo Sule ni mfanyabiashara wa dini (Tijaru dini) kama walivyo...
  12. K

    PreGE2025 CHADEMA nawapa angalizo: Msivurugane kwa safu ya uongozi uliopo, mtajuta!

    Mbowe na Sugu wamepewa hela na Mama Abdul ili watuvuruge, timua hao wala rushwa. Tunawataka wazalendo Lissu na Msigwa
  13. K

    PreGE2025 CHADEMA mpeni Tundu Lissu nafasi ya uenyekiti Taifa

    Tundu Lisu ni Magufuli anayesoma Sheria. Napendekeza awe Mwenyekiti wa CHADEMA ili wafaidi matunda ya Magufuli ndani ya CHADEMA. Hahaha
  14. K

    Fatma Karume amjibu Jaji Warioba; asema Bunge lina Wabunge 50 wa Zanzibar na zaidi ya 250 wa Tanganyika ambao Maamuzi yao huiathiri Zanzibar pia!

    Ndio maana hamtaki kuwapa nchi yao lakini Raisi akitoka kwao ni vurugu tu mnataka Tanganyika yenu. Akili za akina Lukuvi hahaha
  15. K

    Fatma Karume amjibu Jaji Warioba; asema Bunge lina Wabunge 50 wa Zanzibar na zaidi ya 250 wa Tanganyika ambao Maamuzi yao huiathiri Zanzibar pia!

    Akina Sheikhe Faridi na Mselemu wamekaa nyuma ya nondo miaka tisa kwa kudai nchi yao. Hahaha
Back
Top Bottom