Mimi mmoja wapo katika wale ambao hawajamchoka.... the man is just beginning his quest as per say...
Tangu lini wa nje wakajua thamani kitu chako cha ndani...?
South Africa...? Wale waliokumbushwa role ya nyerere ktk uhuru wao waliokuwa wameisahau..?
Lazma uwe mpinzani kumpinga magu... upinzani...
Nakumbuka ccm kuchokwa na wazungu kipindi kile cha uchaguzi.... ile ilikuwa kwa faida ya nani kauli ile? ukawa? wazungu au ccm?
ilikuwa ni kwa faida ya wananchi? laa lalalala... kwa faida ya wazungu tu.. walioichoka ccm ni wazungu sio watanzania... wazungu..
kwahiyo siwezi kuamini kuwa wazungu...
Umesoma ulichoandika ???
Baada ya kusoma kilichoandikwa ??? Au uko unaendeshwa na negativity na arrogance za ajabu ajabu...!!
Wawekezaji waje mitaji, sio briefcase!!
Inaeleweka kabisa.
Waje na briefcase zimejaa mitaji sio tupu...., ukiwa na briefcase yenye mtaji hukaribishwi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.