Wadau naombeni ushauri kwa yeyote anayefahamu nchi ya Qatar. Nimepata kazi kule na sasa hivi nashughulikia viza.
Itakuwa safari ya kwanza nchini humo hivyo naomba mzoefu anifahamishe kuhusu mazingira, watu na makazi.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.