Kila nafsi itakufa na kila mtu atalipwa kwa kile alichokifanya hata hao waliomuua wakumbuke siku moja watakufa na marejeo ya watu wote ni kwa mwenyezi mungu yeye ndiye akimu wa mahakimu na
kumbuka awatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao
kwa hiyo ndugu yangu ukiwa na imani...
daa nimeipenda hiyo mwenyewe nataka kwenda huko maisha ya bongo yamenichosha umri unakwenda sina ninachokipata
kila siku tunaambiwa tufanye kazi lkn kazi zenyewe mimi sijaziona
makusanyo ya miezi miwili ni kilo moja ya unga ni sh 2200 na mchele ni shillingi 2300 sasa kaa chini mwenyewe upige je baada ya miaka 2 itakuwa bei gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.