Recent content by KINGOLI JUMA

  1. K

    Msaada tafadhali: Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia Wanawake

    Pole Sana mkuu kinachokukuta wewe na Mimi pia kinanikuta Tena ni kikubwa zaidi ya hicho k
  2. K

    Utata na historia ya Salum bin Almasi aliyeuawa Kurasini akituhumiwa ni jambazi

    Kila nafsi itakufa na kila mtu atalipwa kwa kile alichokifanya hata hao waliomuua wakumbuke siku moja watakufa na marejeo ya watu wote ni kwa mwenyezi mungu yeye ndiye akimu wa mahakimu na kumbuka awatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao kwa hiyo ndugu yangu ukiwa na imani...
  3. K

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    daa nimeipenda hiyo mwenyewe nataka kwenda huko maisha ya bongo yamenichosha umri unakwenda sina ninachokipata kila siku tunaambiwa tufanye kazi lkn kazi zenyewe mimi sijaziona
  4. K

    Taarifa ya makusanyo TRA ya kodi ya mwezi wa kwanza na wa pili 2017 vipi?

    makusanyo ya miezi miwili ni kilo moja ya unga ni sh 2200 na mchele ni shillingi 2300 sasa kaa chini mwenyewe upige je baada ya miaka 2 itakuwa bei gani?
  5. K

    Kinondoni, Dar: DC Ally Hapi aagiza mtumishi wa umma kuwekwa ndani saa 48 kwa kumzimia simu!

    kule kuna mbu ajaribu yeye kukaa kwa lisaa limoja tu
Back
Top Bottom