Recent content by KingmarVa

  1. KingmarVa

    Wanaohangaika kutoboa katika forex tukutane hapa

    Nitafuata ushauri wako mkuu
  2. KingmarVa

    Wanaohangaika kutoboa katika forex tukutane hapa

    Salute wana JF Ni matumaini yangu kwamba kila mtu anayetaka kufanya biashara fulan bas hufanya kwa lengo la kupata faida. Leo nataka niongee kuhusu wale tunaofanya biashara ya forex. Najua kwmba watu wengi hukimbilia katika hii biashara kwa kile wanachoamin kwamba watapata utajiri wa haraka...
  3. KingmarVa

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Mkuu.. asante kwa knowldge nzur na muhimu sana, japokua napata shida kidogo kwny hili.. bado naendelea kupractice. Nilikua naomba kama utakua na mda, utufafanulie namba ya kutoka nje ya mwl kwa kutumia hyo njia ya pili (kwa msaada wa mlio)
  4. KingmarVa

    Ni wakati gani wachawi huroga?

    Nasubiria mkuu.. asante
  5. KingmarVa

    Ni wakati gani wachawi huroga?

    Mkuu @ mshana jr jee ni kwel maj ya chumvi au maj ya ndimu kama ulivosema yanaweza kutumika kukukinga na roho za giza?? Mfano ukinynyuzia maji ya chumv ndan, au ukayaweka kwny chombo maalum ndan kwko inasaidia kufukuza nguvunza giza?? Maana naona hata maji ya baraka wanayotumia wakatoliki wa...
  6. KingmarVa

    Jinsi ya kupata kiasi cha pesa unachokihitaji kimiujiza

    Nimejaribu mkuu.. bla mafanikio, au kuna sehemu nakoe
  7. KingmarVa

    Jinsi ya kupata kiasi cha pesa unachokihitaji kimiujiza

    Nimejaribu mkuu.. bla mafanikio, au kuna sehemu nakosea
  8. KingmarVa

    Enyi wasoma nyota, si nyota zote husomwa zingine hugharimu uhai

    Kasome vizur kitabu cha isaya mlango wa 14: ujue vizur nyota ya asubuh ni nani
  9. KingmarVa

    Phone4Sale Wauza smartphone tukutane hapa

    Samsung s6edge+ 32GB 4RAM Ipo sokoni... kwa 300K tu.. Call 0763725964 for a serious buyer..
  10. KingmarVa

    Wauza smartphone tukutane hapa

    S6edge + 32Gb 4RAM Call 0763725964
Back
Top Bottom