Hili ambalo kiongozi ACT wazalendo, amelizungumzia akribani mwaka sasa umepita BADO LIPO LINAENDELEA MAENEO YALE YALE mwenyewe ni muathirika na swala hili.
Jamani eeh hii bado Inaendelea na Ni maeneo hayo hayo. Mm nimetoka kupigwa juz hpa. Nmesafiri from Njombe to dar. Maeneo hayo, nlipata...
Huu Ni ukweli, mimi nilipigiwa simu Kuna kazi za booking kufika hko DSM nakutana na mambo mengine tofauti. Kwanza Salam ni "good morning" iwe mchana, usiku salam n hyo, how comes?? Harafu bdhaa unazoambiwa ununue ni za bei ya juu kweli kweli imagine saa inauzwa milioni 5, how comes,,,,,, na watu...
Kumbe hii mambo ni muda Sana! Nmedanganywa Kuna kaz, kufka kule nakutana na hii mambo duu! And there's a number of people na wanaamini kupata. Hivi kuna faida mm nmerun away maana s jamb la kawaida kuona hadi wastafu wapo pale wanafundishwa hayo na wanaamini.... "Naamn na uchaw watumika aisee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.