Huu Ni ukweli, mimi nilipigiwa simu Kuna kazi za booking kufika hko DSM nakutana na mambo mengine tofauti. Kwanza Salam ni "good morning" iwe mchana, usiku salam n hyo, how comes?? Harafu bdhaa unazoambiwa ununue ni za bei ya juu kweli kweli imagine saa inauzwa milioni 5, how comes,,,,,, na watu...