Hakuna cha kupigwa hauwezi kuanika Kila Jambo we kama unafikiria hilo pole sana Ila wenye vigezo hivyo watasaidiwa na siwez anika no ya Simu itakuwa usumbufu siyo kila kitu ni pesa hii ni fursa ya bure kabisa
Sent from my Infinix-X554 using JamiiForums mobile app
Nina project nzuri kwa walio acha au kuachishwa kazi hasa katika Sekta ya Elimu na Afya na Kam uliacha au kuachishwa Ukapewa na Barua...kama we ni Mmojawapo basi usikate Tamaa Hiyo Elimu yako itakusaidia nicheki inbox kuna NGO Inakuhitaji nikudirect
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.