Walioacha kazi au kuachishwa

Walioacha kazi au kuachishwa

weka maelezo yote kama kweli unalengo la kusaidia watu wengi walivutw inbox wakapigwa .tahadhari
Hakuna cha kupigwa hauwezi kuanika Kila Jambo we kama unafikiria hilo pole sana Ila wenye vigezo hivyo watasaidiwa na siwez anika no ya Simu itakuwa usumbufu siyo kila kitu ni pesa hii ni fursa ya bure kabisa

Sent from my Infinix-X554 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna cha kupigwa hauwezi kuanika Kila Jambo we kama unafikiria hilo pole sana Ila wenye vigezo hivyo watasaidiwa na siwez anika no ya Simu itakuwa usumbufu siyo kila kitu ni pesa hii ni fursa ya bure kabisa

Sent from my Infinix-X554 using JamiiForums mobile app
kwahiyo unataka pm siyo.
 
Mwivi Wa Kiwango Cha Lami tumuogope kama Ukoma

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom