Recent content by kingawa1996

  1. K

    Biashara na faida ya Bajaji ya mkataba

    Habari wanajJF, hivi bajaji ya mkononi ukampa mtu mkataba labda unaweza ukafanikiwa. Walioanza kufanya biashara hiyo anipe ujuzi bajaji kama ya milioni 5 hivi Ushauri wenu wanaJF
  2. K

    Dilemma: Je, nimwandikishe jina lake kwenye mali zangu au nikubali tuachane?

    Usisubutu kufanya ujinga kama huo mpe chake tu wanawake wengi japo awafanani
  3. K

    MSAADA: Naomba ushauri, mtoto amezaliwa bila sehemu ya haja kubwa

    Amefanyiwa upasuaji pemben mwa tumbo nimepangiwa klinik niende njia ya kawaida nijipange
  4. K

    MSAADA: Naomba ushauri, mtoto amezaliwa bila sehemu ya haja kubwa

    Kafanyiwq upasuaji pemben sasa mfumo unaofuata kutobolewq tundu lake la kawaida
  5. K

    MSAADA: Naomba ushauri, mtoto amezaliwa bila sehemu ya haja kubwa

    Habari wana JF, Jamani napitia changamoto mtoto amezaliwa hana tundu la haja kubwa, mwenye tatizo kama langu anielimishe maana hata sielewi anatakiwa akafanyiwe upasuaji Muhimbili, gharama zake sijazijua.
Back
Top Bottom