Habari zenu wadau,
Mimi ni Mvulana wa miaka 28, Natafuta Mchumba wa kufanya nae maisha, awe na umri kuanzia 20 - 26, kabila lolote kasolo Mzalamo, Awe mkristo mwenye kumuogopa Mungu, hata asipokuwa na kazi sawa, ilimradi awe mkweli na aliyeumizwa na kuelewa maumivu ya mapenzi.
kwa aliyesiriaz...