Recent content by king_azy

  1. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Dah, Aston Villa nae anashindwa kupata goal
  2. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Chambo hicho anatufutwa mjinga apigwe
  3. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na mfumo aliotumia kudeposit ndo huo huo atumie kuwithdraw,
  4. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mzee una sure odd harafu uko humu kutafuta wateja wa kuwauzia kwa 5k,
  5. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii gemu ya man mbona sioni goal 2 zikipatikana
  6. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Chelsea nae kashakufa moja
  7. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Liverpool leo atatulaza mapema
  8. king_azy

    Azam TV watarusha kweli mechi za kombe la dunia?

    Nakumbuka mwaka 2018, mechi ya kwanza nilienda mahali wao wanatumia azam tu, nikawaambia waweke rwanda tv mana wanaonyesha,dah kufika muda wa mechi tu rwanda tv ikazimwa
  9. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi naona monaco ndo atanilaza na viatu
  10. king_azy

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    kuna ile Arthdal chloncle nayo
  11. king_azy

    Nilidanganya umri ukweni sasa penzi limekolea nachomokaje?

    Kuna ndugu yangu kuna msichana alikuwa anachakatana nae,wala hawajawahi ongea mambo ya ndoa, siku moja jamaa anapokea simu ngeni kumbe bi mkubwa wa demu wake anamwambia jamaa unakuja lini kuleta barua mwanangu
  12. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo no 1st goal maana yake hamna atakae aanza kufunga goal ni sawa na kuweka under 0.5 full time
  13. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na kapata red card sijui kama atarudisha
  14. king_azy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Aisee,sijui kwanini namimi nikaudandia,mana man city kwa crystal palace anapata shida sana, hata msimu uliopota alipata point moja kwa hao jamaa
Back
Top Bottom