Recent content by king1m

  1. K

    DC Makonda 'amekiri' kuwa lilikuwa ni suala la kinidhamu, alikosea

    Kauli zenu za kufurahia matukio zitawafikisha pabaya. Siku zote ukitaka kuleta ustawi wa jamii, hakikisha mambo ya msingi yatakayoleta ustawi wa jamii yamekuwepo. Unapodai Leo ustawi wa jamii ni nini kigezo cha huo ustaw? Unapotaka mtaalamu atoe huduma bora km za afya, je dawa zipo, cuteness...
  2. K

    Mtela Mwampamba afunguka ndani ya Passion FM

    Wanajamvi nawahitaji hawa watu wawili waliovuliwa uanachama toka Chadema watueleze Watanzania, hizo propaganda wanazotoa ndiyo majibu ya shida za Watanzania? Hayo marumbano yanawasaidia nini wauza nyanya, mboga au wafanyakazi na wakulima? leo mfuko wa mbolea unauzwa Tsh. 50,000 kule Songea...
Back
Top Bottom