It's seems like you have something uncommon, Please ongea zaidi Kuhusu hili
Kuna mahali nilishafanya kazi na mzungu alikua na shamba ila Ni porini alikua anayajua maeneo yale kuliko hata wenyeji pia alikua anajua sehemu karibia zote zenye BICON tofauti na sie mpaka uzione, Inawezekana...
Nafikiri unamjudge tofauti pia unataka kujua anachofikiria au unachowaza kwa urahisi zaidi, Labda nikwambie kitu itakusumbua sana kuweza kuelewa ni mpaka siku akwambie au aamue kukuelewesha kama anavyokwambia anapohitaji vitu vingine.
Binafsi ninacharacter zinazoendana nae kidogo labda...
Nyanya ya Ruaha inachangamoto kiasi
1. Asili ya Ruaha mbuyuni Kuna joto kwahiyo nyanya yake inawahi kurojeka
2.Usafiri: Kama utaweza kujaza gari pekeako itakua poa, ila Kama hutajaza gari inakulazimu uunganishe na wengine sasa hapo ndio changamoto inaanzia
a) Kama nyanya ilikua...
Nina experience kidogo kwa kutokea makambako
1.Fika makambako eneo linaitwa soko la nyanya hapo, utapata nyanya kutokana na uhitaji wako, yaani Kuna wamama hapo watakutafutia nyanya na watakutafutia vijana wa kupanga kwenye box (mtakubaliana bei ya kukaba nyanya)
2. Being ya box empty la...
Wakuu heshima kwenu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika yote mnayopitia zaidi neema yake ikawe juu yenu.
Jana yamenikuta kijana mwenzenu, Shemeji yenu mtarajiwa anafanya kazi ofisi moja na bamkwe wake ila hawajatambulishwa tuu.... Sasa katika mishe za maisha huyu mtarajiwa alifanya matumizi...
Kabisa mkuu, hawa jamaa kupata maendeleo Ni kazi sana, binafsi sio muongeaji ila Kuna muda unahitaji kuwa na rafiki hata wakubadioisha nae mawazo ila kwa huku nina mwaka wapili sasa sina rafiki, Ni geto,kompyuta, mishe zangu bhaasi
Siwezi kukaa na watu hawanipi changamoto wala idea mpya na...
Asante mkuu, ila nakwambia bora hao waluguru, wafipa Ni wavivu na wengi wao ndio vibarua, yaani ukitaka kufanya kazi inayohitaji kibarua si rahisi kupata mtu tofauti na hawa sasa ufanyaji wao kazi usipomsimamia ujue kazi imeharibika, yaani Ni shida tuu hakuna afadhali
Lakini huu mkoa Ni...
Duuh pole pia ndugu, hii tabia inawaharibia sifa wooote hata Kama haupo hivyo, yaani Mimi nashindwa kumpa kazi mfipa na sahivi nimekua affected kabisa nikitaka kufanya kazi na mtu lazima nimuulize wewe Ni mf...pa japo sio poa ila nafanya kujihadhari mapema.
Anyway Bado nipo ufipani hapa maeneo...
Mkuu sio kwa Nia mbaya Ila hawa jamaa wameutibua sana moyo wangu, nilikua na project niliotaka kuifanya Ila nashindwa maana inabidi nipate vijana kutoka mkoa niwape maradhi na chakula kitu ambacho sijitoshei kwasasa. Changamoto sana hawa viumbe wa Mungu
Naunga mkono hoja, hili kabila Ni tatizo sana (Nimeweka kiujumla kwasababu asilimia kubwa wanatabia hizo yaani katika kumi bhasi Tisa wanatabia za kishamba sana) Nilishawahi kumpa kazi mzee na familia yake anilimie siku nimemlipa 80% ya hela hakuonekana mwezi mzima baada ya hela kuisha ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.