Recent content by King ossy

  1. K

    Nimekataa kumpongeza Mrisho Gambo

    Uzi wa kijinga kabisa huu hivi vijana wa ccm mnafaidika nini na mateso wanayoyapata watanzania kutokana na ujinga wa hiki chama twawala
  2. K

    Singida: Tundu Lissu(MB) akamatwa na Jeshi la Polisi, Kusafirishwa kupelekwa Dar haraka!

    We rudi shule ukasome unamwita Lissu mnafiki!!!!! Kweli tatizo kubwa la watanzania ni Elimu
  3. K

    Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka

    Wengi wenu mnaotetea upuuzi wa ccm hamjitambui najua mmelala siku mkiamka mtajua walichokua wakikifanya wapinzani kilikua sahihi sana
  4. K

    Tetesi: Vodacom wameanza maboresho ya kuongeza tozo kwa miamala ya fedha

    Hii thread ni ya Uongo sana mabadiriko hayo hayahusiani kabisa na gharama za M-PESA ni vizuri kabla hujapost kitu ukajiridhisha na hiyo taarifa yako kuliko kudanganya watanzania wenzako kwa habari zisizo na uhakika kwani mabadiriko hayo yanahusu system ya M-PESA na si gharama ya M-PESA kama...
  5. K

    Mnaonunua simu kwenye promosheni za kampuni ya Airtel kuweni makini sana

    Vodacom ndo mpango mzima jamaa hawana janjajanja na kesho wanagulio pale makao makuu yao jengo namba2 naenda kujibebea moja mitandao mingine igeni Vodacom msitapeli watanzania
  6. K

    Polisi wamezingira nyumbani kwa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Joseph Gwajima

    Hii nchi tayari ishawekwa mfukoni we andika hapa utauona ufalme wa wwatawala wa Tanzania utakoitwa polisi na baada ya siku tatu mahakamani wakati kunawafungwa wanadubiri kusikilizwa kesi zao kwa miaka 6 sasa
Back
Top Bottom