Huu ni uhuni. Hakuna maan ya kung'olewa wakati faida imeshapatikan asilimia mia mmoja.
Ujinga na upumbavu umejaa serikalini. Imejua lini kuwa Richmond in ya kihuni?. Termination hii ya mkataba haina maana yoyote kwa kuwa mkataba unefika mwisho na ukaongezwa.
Takukuru haina maana yoyote na ingebidi ni vema ikavunjwa. Mlarushwa na mafisadi wako serikalini ambayo ndi inamteuwa PCCB. sasa PCCB itamchunguza serikali. Itaanzia wapi?. PCCB haikuanzashwa kwa matakwa ya ananchi bali kwa shinikizo la nchi wahisani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.