Mimi huyu jamaaa nimewasiliana nae saidi ya Mara moja tenaaaaa anajifanya ni mtu mwenye huruma Kisha anamshirikisha jamaaa yake mmoja kana kwamba ni mtu wa system kuwa ukimtumia pesa anaomba pesa ya kuprint Kisha anakwambia ili akusainie tuma pesa ukimzongua anaanza kukuomba as if ni mtu wa...
Mda utafika tuu watu watasema ukweli na kumbuka kwa wakuu maaana serikali hii imetawaliwa na poropoganda ili Hali ukweli upo wazi kuwa Hali ya uchumi ni tete sanaaa
Kwa wakati huu unaweza kuongea machache tuu ukahojiwa uraia so hayo yote si sababu kwani nape aliongea nini cha ajabu kakobe kuhojiwa uraia nae vipi so
Wakuu natafuta kazi mimi ni mwalimu nimehitimu shahada ya elimu katika chuo cha kikatolic mwenge mwaka 2018 katika masomo ya physics na ICT pia nauwezo wa kufundisha mathematics olevel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.