Recent content by King Maker

  1. King Maker

    Burkina Faso na Tanzania kuimarisha uhusiano katika Huduma ya Saratani na huduma nyingine kiafya

    Hii ni njema sana. Tanzania tupo vizuri sana katika sekta ya afya. Hongera Mhe. Rais , SSH kwa uongozi uliotukuka. Hakika umeacha alama katika maisha ya watanzania wazalendo. Mungu akupe maisha marefu.
  2. King Maker

    Dkt. Slaa: Kipaumbele cha Hayati Rais Magufuli kilikuwa kuwainua Watanzania

    Ikitoka Mwanza - Isaka- Kigoma the DRC, Rwanda, etc,
  3. King Maker

    Zanzibar: Vikosi vya Usalama vyapiga mabomu ya machozi, wananchi wakimbia na kuacha mitaa ikiwa mitupu. Huduma za kijamii zasimama

    Yaani unaleta picha za saa nane usiku kuhalalisha mawazo yako. Ficha ujinga wako.
  4. King Maker

    Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

    Wangempapasa kidogo akili irudi. Anatafuta attention.
  5. King Maker

    Dar sasa iko tayari kumpokea Lissu kwa mikono miwili

    DSM anafanya nini, kwani hata mbunge mmoja hapati. Anyaway, anajiaandaa kwa safari ya Ubeligiji, nasikia ticket anayo tayari,
  6. King Maker

    Sioni tofauti kati ya Gwajima na Gamanywa

    Unataka awe CDM ndiyo uwe na furaha. Watu wengi wenye busara wana imani na Serikali yao na hasa JPM.
  7. King Maker

    Ambassador Khamis Kagasheki: Life has taught me that you can’t control someone’s loyalty

    Uzuri ni kwamba wanaolalamika ni wachache waliozea hela za ujanja ujanja, pia uzuri kuwa JPM ameandika historia ambayo itakumbukwa mpaka kizazi cha tano cha watanzania, maendeleo aliyowapatia watanzania yanawakumbusha watanzania wengi uzalendo wa kujenga nchi, uaminifu na focus kama kiongozi wa...
  8. King Maker

    Tahadhari na ushauri kwa system: Msimwonee haya mtu, akishindwa achaneni naye na akishinda atangazwe

    Lisu wenu hawezi, hawezi. Baada ya uchaguzi mtaanza kuimba wimbo wa kuibiwa kura, na katiba mpya. Akili za kuku hizi, kweli Lisu, anafkiri ataweza. Hatashinda, na baada ya uchaguzi kesi zake zinamsubiri.
  9. King Maker

    Nawahurumia Watumishi wa Umma 2020-2025

    Ulitaka Serikali imlipie karo, angeenda shule za Serikali. Usiwe na akili ndogo kama jirani yako. Think Big.
  10. King Maker

    Tundu Lissu: Leo tuna ratiba ya mkoa wa Kilimanjaro halafu tutakuwa na mapumziko mafupi hadi 4/10/2020

    Anaenda Kenya ku update system ya mabeberu, akivuka nje tu wamalize biashara huku huko.
  11. King Maker

    GE2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

    Wanaenda kutafuta maisha, ungejiunga nao, ukaoshe wazee Ulaya, wakati mapori ya kilimo na ufugaji yapo tele TZ, unataka Serikali ikugawie pesa na ukoo wako. Hakuna nchi inayofanya hivyo duniani. Jitume kijana. Usipofanyakazi huwezi kula.
  12. King Maker

    GE2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

    Fanyakazi, utafanikisha, usikae kijiweni utegemee kugongea hadi fegi.
  13. King Maker

    GE2020 Mbarali, bendera za CHADEMA zikishushwa mbele ya polisi kabla ya Magufuli kupita

    Bendera moja ndiyo unapiga kelele hivyo, JPM anachanja mbuga.
  14. King Maker

    GE2020 Nimeamua kura yangu asubuhi na mapema Lissu atapata

    Hongera. Kusanya na ukoo wenu wote, but urais atausikia tu. Jiandae usije ukapata ugonjwa ukacollapse siku hiyo.
  15. King Maker

    GE2020 Hongera Tundu Lissu, kazi umeimaliza

    Rais wa WASAFI. Mmejitahidi sana, wabunge 3, na asilimia 5 za kura za urais
Back
Top Bottom