aisee nimekerwa sifungui TENA jamii forum kwa kuwa mnajadili mambo ya KIPUUZI na ambayo HAYAPO Tanzania, mnataka kuleta vita vya kidini?kwaherini na mtabaki na ujinga wenu
we Philemon Mikael na mtoa hoja inaonekana mawazo yenu ni finyu sana, na mawazo yenu hayapo katika ulimwengu wa sasa, hivi na idea yako pamoja na mtoa hoja unaweza ukajiita ni great thinker? embu kuwa kaka...umenitia aibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.