Umoja wa mataifa, jumuiya za ulaya zote ni hovyo maana Hazina uwezo wa kutatua migogoro ambazo Hazina maslahi kwao.
Bashar Al-Asaad amewaua raia wengi dunia imeshindwa kumwadhibu. Wapeleke nyokonyoko xao huko
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Askari Polisi walivamia nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema alfajiri ya leo na kumkamata.
Hivi sasa yupo central police ya Arusha.
Sababu za kukamatwa kwake haijajulikana bado....
Tutawajuza kila kitakachokuwa kinajiri
=======...
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Meya wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro Bukhay, Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro Basil Lema, Katibu wa chama Wilaya ya Siha, Diwani wa Nasai Solomon Mmary, Diwani Viti Maalum Witness Riwa na Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya Siha wamekamatwa na Polisi...
Mstahiki meya Jiji LA Arusha Kalist Lazaro ameshtukia harufu ya ufisadi kwenye ujenzi wa matundu mawili ya Choo cha zahanati ya Elerai.
Mstahiki meya akiwa pamoja na wajumbe wa Kamati ya fedha walikuwa wakifanya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayojengwa kwa mapato fedha za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.