Recent content by King Jim

  1. King Jim

    Mambo usiyoyajua kuhusu Biblia

    Very right ✅ Naomba kuuliza maana ya ufalme wa Mungu, na je umekwisha kuja au bado. Na unapatikana wapi?
  2. King Jim

    Nyerere Day iadhimishwe bara zima la Afrika kumuenzi Baba wa Afrika

    Nashangaa kuona kila ukitajwa ukombozi wa Africa, wanamuweka Mandela tu, na hakuwahi kufikia nusu ya u smart wa Mwalimu.
  3. King Jim

    Nyerere Day iadhimishwe bara zima la Afrika kumuenzi Baba wa Afrika

    Tarehe 28 September 1999 redio SAFM (South Africa) ilitangaza kifo cha Mwl Nyerere. Tena wakarudia kutangaza 11 October 1999 kuwa Mwl ametutoka huko Uingereza, Tena wakatangaza 14/10-1999. Baada ya kila tangazo waliomba radhi kwa taarifa zisizosahihi lakini kinachoshangaza ni kwanini redio ya...
  4. King Jim

    Kwanini tunaiamini Mahakama kutoa haki?

    "If the Court still makes mistakes by condemning the Innocents, Why do we still allow it to provide rights?" Kama tunajua na kukubali kuwa kuna watu wasio na hatia wako jela, kwanini bado tunaiamini na tunaiachia mahakama kutupatia au kuhukumu kwa haki? Naamini tunaweza pata suluhisho jingine...
  5. King Jim

    Jinsi shule inavyoharibu ubaadaye wa watoto wa Afrika

    JINSI SHULE INAVYOHARIBU UBAADAE WA WATOTO WA KI-AFRIKA. Tafadhari soma hii ukiwa umekwisha graduate 🎓, Kabla hatujaendelea, naomba nikuweke sawa kwenye maneno Shule na Elimu, Elimu (Knowledge/Wisdom) ndio muhimu kwenye maisha ya mwanadamu na sio Shule ambayo ipo ndio kama mfumo wa Elimu wa...
  6. King Jim

    Mambo usiyoyajua kuhusu Biblia

    BIBLE'S CONSPIRACIES 1. MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU BIBLIA ambayo yatakushangaza hata kama umekuwa Mkristo uliyapata kipaimara na kubatizwa. Namba 6 itakushangaza! Tafadhari USISOME kama hukupitia Bible School. Imeandikwa na King Jim 1. Biblia ndio kitabu kilichokamilika zaidi nilichowahi...
Back
Top Bottom