Recent content by king gwangaeto

  1. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Viongozi Hospitali ya Dar Group waendeleza Ufisadi na Hujuma dhidi ya Serikali

    Uzuri serikali ipo makini sana na tunaamini taarifa zote zinawafikia na soon watairudisha ile kuwa mali ya umma
  2. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Viongozi Hospitali ya Dar Group waendeleza Ufisadi na Hujuma dhidi ya Serikali

    Hao viongozi wapiga deal wasio na maarifa wanazid kuididumiza jitihada za serikali na kula kodi za wananchi ,
  3. K

    JamiiForums Tanzania Serikali yakamilisha utaratibu kurudisha umiliki wa mali/taasisi zilizokuwa za umma ikiwemo Hospital ya Dar Group

    Kupitia hotuba ya waziri wa fedha na mipango Mh. Mwaigulu Nchemba leo bungeni wakati akiwasilisha bajeti ya wizara ya fedha ya mwaka 2022/2023 amethibitisha kukamilika kwa hatua za ukaguzi wa mali na madeni ya taasisi mbali mbali ambazo zilikua ni mali ya serikali ,na miongoni mwa taasisi hizo...
  4. K

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI kwanini mmewapangia wnafunzi shule ambazo hawakuzichagua?

    Tamisemi japo mlitoa nafasi za wanafunzi kufanya upya machaguo ya shule za advance kupitia mfumo wenu wa selform lakin cha ajabu mewapangia wanafunzi wengi shule tofauti na zile walizochagua despite ufaulu wao kuwa mzuri lakin bado mmewatupa ktk shule za ajabu ambazo hawakuchagua Je,nini maana...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    We mean business this time, it’s over until it’s over
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Update:Tokea asubuhi hsptl haina maji na umeme had muda huu hospital ipo gizaa, hsptl ina back up generator mbili lakin zote mpaka muda hazifanyi kazi ilihali ratiba ya mgao wa umeme ilitoka kabla lakin hakuna chochote kilichofanyuka mpaka kujiandaa na suala hili wenyewe wanajali maslahi...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Identity yetu ni Drs na wafanyakazi qualified , TUNAKUJUA WW NA BOTS WENZIO MMEVOTUMWA HAPA KUDEFEND BLINDLY , JIBU HOJA TAJWA HAPO JUU THIS TIME WE MEAN BUSINESS TAREHE 14 SIO MBALI ITAFAHAMIKA (WELL ORGANIZED ) Istanbul
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Marashi chawa kama ww tunakujua vizur upo pale kiundugu na hauna vyeti tulia subiria tarehe 14 kiwake , [emoji28]
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Pia hsptl hiyo identity yake ni kama inafichwa hata ukipata pale ni vigumu kuweza kutambua kama kuna hsptl hamna bango elekez lililo kubwa pia haina hata tovuti japo ina miaka zaid ya 50
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Ipo Tazara pembeni ya daraja la mfugale, jina lingine inaitwa Tanzania occupational health services (T.o.h.s ) imahudumia wakazi wengi sana wa temeke , gombo la mboto ,buza , bugurun, chanika na ilala pia . Ni hsptl kongwe japo imedumaa sababu ya upigaji
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Wa mlima kolelo pia tuna ndugu wanaohudumiwa pale Bambushka
Back
Top Bottom