Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

Kigwagwelo wewe akili yao mbovu sana.. Unatumia account fak unaandaa mgomo.. Taja identity yako wewe ni nani? Asa wewe mtetezi wa wanyonge unaogopa kujibu.. Ovyo kabisa

we bwana unatuongopea bana.. Me leo nimetoka kuona mgonjwa kafanyiwa upasuaji.. Hospital imefunga mpaka AC kwenye wards ikose maji.. Ebu shika adabu yako wewe

Identity yetu ni Drs na wafanyakazi qualified , TUNAKUJUA WW NA BOTS WENZIO MMEVOTUMWA HAPA KUDEFEND BLINDLY , JIBU HOJA TAJWA HAPO JUU
THIS TIME WE MEAN BUSINESS TAREHE 14 SIO MBALI ITAFAHAMIKA (WELL ORGANIZED ) [mention]Istanbul [/mention]
 
1. Msajili wa hospitali binafsi hana taarifa ya mgogoto huu?
2. RMO nae hana taarifa?
3. DMO nae je?
4. RHMT na CHMT walishawahi fika hapo na kuangalia kinachoendele?

Bila shaka huduma hapo zitakuwa zimedolola sana kutokana na huu mgogoro hapo sio sehemu salama kwa wagonjwa kwenda
 
Sisi kama madaktari kwa umoja wetu tunawasapoti Madaktari na wafanyakazi wa dar group ktk suala hili maana limechukua zaid ya mwaka 1bila suluhisho ilihali likiathiri utendaji kazi na morali za wafanyakazi, viongozi hao wanaendelea kuhujumu hsptl .Muda ndio huu wixara ya afya ,Mh.Ummy mwalimu maliza kadhia hii
 
1. Msajili wa hospitali binafsi hana taarifa ya mgogoto huu?
2. RMO nae hana taarifa?
3. DMO nae je?
4. RHMT na CHMT walishawahi fika hapo na kuangalia kinachoendele?

Bila shaka huduma hapo zitakuwa zimedolola sana kutokana na huu mgogoro hapo sio sehemu salama kwa wagonjwa kwenda
Hao RHMT ndio walipewa jukumu la kuiangalia hsptl na RAS ofice lakin hao wakaingia deal la upigaji na viongoz wasiotakiwa na kuwa kitu kimoja yaana hao ndio walikua wanawafukuza madaktari pindi wakiwa pelekea changamoto wazitatue
 
Update:Tokea asubuhi hsptl haina maji na umeme had muda huu hospital ipo gizaa, hsptl ina back up generator mbili lakin zote mpaka muda hazifanyi kazi ilihali ratiba ya mgao wa umeme ilitoka kabla lakin hakuna chochote kilichofanyuka mpaka kujiandaa na suala hili wenyewe wanajali maslahi binafsi, HIVI IMAGINE KUNA WAGONJWA WA EMERGENCY ZA WAJAUZITO AU OPERATION THEATRE NA UMEME NDIO HIVO HAUPO WHAT NEXT KAMA SIO VIFO VYA UZEMBE
 
IMG_8175.jpg
 
Kigwagwelo wewe akili yao mbovu sana.. Unatumia account fak unaandaa mgomo.. Taja identity yako wewe ni nani? Asa wewe mtetezi wa wanyonge unaogopa kujibu.. Ovyo kabisa

we bwana unatuongopea bana.. Me leo nimetoka kuona mgonjwa kafanyiwa upasuaji.. Hospital imefunga mpaka AC kwenye wards ikose maji.. Ebu shika adabu yako wewe
Pimbi wewe ndiyo unakula nao. Ninazo details za hiyo hospital kiasi kwamba siwezi kuziweka hadharani. Rudi pale omba uingie consultants rooms ziko mbili pale tu jirani na reception. Leo siku nzima hakuna maji, umeme hakuna na standby generator hazifanyi KAZI. Jumapili nilikuwepo pale kwa mission zangu. Maji hayakuwepo mpaka ICU ward nilihoji ndugu wa mgonjwa alikuwa anaenda kuchota maji. Surgical Ward iko Opposite Pharmacy na ICU, hii imefungwa kabisa!!!! Unataka niendelee. Nyamaza.
Kifupi Hospital iwe under Receivership ya Appointee wa Serikali wakati wakiamua hatma yake. Hivi mgonjwa yuko Theatre na umeme unakatika!!!!! Generator mtihani.

Hospital ilikuwa nzuri na huduma nzuri Sana back the. Jinamizi limeila.
 
Pimbi wewe ndiyo unakula nao. Ninazo details za hiyo hospital kiasi kwamba siwezi kuziweka hadharani. Rudi pale omba uingie consultants rooms ziko mbili pale tu jirani na reception. Leo siku nzima hakuna maji, umeme hakuna na standby generator hazifanyi KAZI. Jumapili nilikuwepo pale kwa mission zangu. Maji hayakuwepo mpaka ICU ward nilihoji ndugu wa mgonjwa alikuwa anaenda kuchota maji. Surgical Ward iko Opposite Pharmacy na ICU, hii imefungwa kabisa!!!! Unataka niendelee. Nyamaza.
Kifupi Hospital iwe under Receivership ya Appointee wa Serikali wakati wakiamua hatma yake. Hivi mgonjwa yuko Theatre na umeme unakatika!!!!! Generator mtihani.

Hospital ilikuwa nzuri na huduma nzuri Sana back the. Jinamizi limeila.
Asa mbona unajificha fichw jiweke wazi kiongozi wetu wa maandamano bwege nazi wewe
 
Identity yetu ni Drs na wafanyakazi qualified , TUNAKUJUA WW NA BOTS WENZIO MMEVOTUMWA HAPA KUDEFEND BLINDLY , JIBU HOJA TAJWA HAPO JUU
THIS TIME WE MEAN BUSINESS TAREHE 14 SIO MBALI ITAFAHAMIKA (WELL ORGANIZED ) [mention]Istanbul [/mention]
Doctor hawez kuwa na akili mbovu kama zako.. Mi ni mtanzania mpenda maendeleo
 
Madaktari na wafanyakazi wa Taasisi ya Tanzania Occupational Health Services (T.O.H.S) maarufu kama Dar Group Hospital wanatarajia kuanza mgomo na kuishinikiza Serikali kupitia wizara zake husika kutoa muafaka na hitimisho kuhusu kadhia ya muda mrefu iliyop ktk hospital hiyo isiyo na mmiliki.

Awali ya yote, taasisi ya Tanzania Occupational Health Services (T.O.H.S) kama jinsi jin lake lilivyo limebeba jina halisi la nchi Tz kama taasisi ya nchi itakayohusika na hudumia za afya wafanyakazi na wananchi wengine kwa ujumla,Kama ilivokua lengo lake la kuanzishwa na ilizinduliwa na aliyekua Rais wa kwanza wa Tanganyika J.K Nyerere.Na eneo hilo ni mali ya serikali tokea enzi hizo japo kwasasa hospitali HAINA MMILIKI (imekua shamba la bibi ) kwa maslahi ya kifisadi ya watu wachache ambao wamekua wakiiendesha kama mali binafsi na kufuja mali za shirika pamoja na unyanyasaji wa wafanyakazi na kukiuka sheria na taratibu za kazi za nchi.

SABABU ZA KUU ZA KUTAKA KUANZISHA MGOMO NI KAMA ZIFUATAZO

Kufatia kifo cha hayati JPM na mabadilikoya uongozi mfano waziri wa afya,Ras Dar na D.C TEMEKE (salute to DC Gondwe aliyesimamia kwa haki kadhia hii mwanzon) wafanyakazi wa hospital hiyo walibaini na kuthibitisha nia ovu na mipango ovu inayofanywa na kuratibiwa na viongozi hao wenye tuhuma kwa kushirikiana na baadhi YA VIONGOZI WA SERIKALI NA VIONGOZI WA OFISI YA RAS DAR ES SALAAM ambao mwanzoni viongozi hao wa afya ofisi ya Ras walikua wamepewa jukumu la kusimamia hopsital hiyo kwa muda mpaka pale report na muafaka utakapo tolewa lakin baada ya muda viongozi hao walianza kufanya vikao vya siri na kuwa kitu kimoja mfano pale ikitokea shida hospital maktari wakienda kureport walikua wakifuzwa badala ya kuskilizwa tena kutishiwa juu na viongozi ofisi ya RAS ,Mpka sasa viongozi hao wote plus wa Ras hawajawahi kufanya kikao na wafanyakazi na CHA AJABU ZAIDi KWASASA WAMEKUBALIANA KWA SIRI MAKUBALIANO YA RUSHWA NA YASIYO HALALI NA KUWARIDISHIA USIMAMIZI TENA VIONGOZI HAWA WABADHILIFU WASISTAHILI KUWEPO (KWA MASLAHI BAADHI YA VIONGOZI MAFISADI WA SERIKALI KUTOKA OFISI YA RAS WANAIHUJUMU SERIKALI YA MAMA SAMIA IONEKANE HAIFANYI KAZI NA IMESHINDWA KUMALIZA KADHIA HIO)

1. KUISHINIKIZA SERIKALI KUTOA MUAFAKA NA HITIMISHO KUHUSU KADHIA ILIYOJITOKEZA NA KUDUMU BILA JAWABU
Kufatia kadhia waliyoibua wafanyakazi mnamo December 2020 ambayo imedumu kwa takriban zaid ya mwaka sasa bila muafaka wala suluhisho

Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

2. KUSHINIKIZA KUFUKUZWA NA KUCHUKULIWA HATUA STAHIKI KWA UONGOZI MBOVU ULIOPO AMBAO MPAKA SASA HAUSTAHILI KUWEPO

Viongozi hawa hao waliopo ambao wanashutuma za ubadhilifu wa mali za shirika na unyanyasaji wa wafanyakazi kama ilivyothibika ktk kikao baina ya DC Temeke wakati ule na viongozi na wafanyakazi .Referrence .UONGOZI WA SASA HAUNA MORAL AUTHORITY WALA CREDIBILITY YA KUENDELEA KUWEPO .WAFANYAKAZI WANATAKA UONGOZI MPYA.



3. SERIKALI KUPITIA WIZARA YA AFYA ITOE TAMKO NANI MMILIKI HALISI WA HOSPITAL NA IUNDE BODI YA WAKURUGENZI
Ktk jambo la ajabu na la hovyo hospital ya Dar Group imekaa kwa takriban zaid ya mwaka mmoja bila ya kuwa na bodi ya wakurugenzi kufatia kuvunjwa kwa bodi fake ya watu 4iliyokua kwa maslahi binafsi ,Lakin mpaka sasa hsptlm hain abodi ya wakurugenzi ??? ipo ipo tu ,na kwanini inachukua muda kupata uongozi mpya pamoja na bodi

4. SERIKALI KUPITIA WAIZARA HUSIKA/TAKUKURU KUTOA RIPOTI YA UCHUNGUZI ULIOFANYIKA (KAMATI ILYOUNDWA KUCHUNGUZA)
Baada ya kadia ile iliundwa tume kuchunguza na majibu hayajoka mpaka leo ilihali ilitakiwa yawe tayar yaeshatolewa tokea mwaka jana, Pia mwaka jana mwishoni TEAM YA HAZINA walifika hospitalin hapo kwa mara nyingine tena baada ya kuchachamaa tena na wakasema watatoa final report ambayo imekua danadana hadi leo.

5. TAKUKURU,WAZIRI WA AFYA MH.UMMY MWALIMU ,DC TEMEKE ,RC DAR ,RAS DAR ,HAZINA NA SERIKALI KWA UJUMLA TOENI HITIMISHO SASA MSIMU ANGUSHE MAMA (HILI SUALA LIMALIZIKE KWA HAKI KAMA LILIVYOANZA WAKATI WA J.P.M KWA SPEED ILEILE)

NB;MGOMO NA SHINIKIZO VITAANZA RASMI TAREHE 14 MWEZI 2 2022 (J3 ) NDUGU WANANCHI MNAARIFIWA KUWA KUANZIA SIKU HIYO HAPATAKUA NA HUDUMA HIVO KWA USALAMA WA NDUGU NA JAMAA KUKOSA HUDUMA MTUMIE HOSPITAL ZINGINE.

Wizara ya Afya Tanzania bwashee2020 Zitto BAVICHA Taifa Chadema Diaspora Ccm chama changu Afyainfo JamiiForums @ccm @ .

WE MTU MPUUZI MBONA ASA MAANDAMANO UMEHAIRISHA BILA KUTUPA TAARIFA😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom