Recent content by King gorani

  1. King gorani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Niaje wadau kiukweli mm nina chimbo la fixed matches limelipata kuna jamaa mmoja mgiriki hivi anauza sure games ila ni pesa ndefu kidogo lakini jumanne nilimlilia sana kwamba nashida akanipa game 1 ina odds 10 correct score akanambia nistake more nikatatue shida zangu pia nipate pesa ya kumlipa...
  2. King gorani

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Ngorongoro wapo vizuri sana ila kuingia ngumu nimejaribu kuomba uhamisho karibu miaka mi5 mpaka leo sijafanikiwa
  3. King gorani

    Waliokuwepo kwenye oral ya Mzinga corporation 29/12/2021 Morogoro vipi majibu bado jamani?

    😃😃mm nilikuwepo kwenye hiyo interview sahivi nina miaka 3 kazini ila chamoto nakiona bora ww uliekosa
  4. King gorani

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Nilifanya jambo la maana sasa hivi nina faida ya dola 4600 niliweka dola 1800, nasubiri zifike dola 20000, nitoke sokoni
  5. King gorani

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Nilifanikiwa, nashukuru now npo kwenye faida kubwa broo
  6. King gorani

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Sawa kaka hakika umenifumbua ila project zinajulikana
  7. King gorani

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Zinafika ila nataka nichukue wa muda mfupi wa dola ef3
  8. King gorani

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Pesa itakatwa kwenye mshahara coz nimeajiriwa
  9. King gorani

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Mfano mwaka huu mwezi wa8 solana ilikuwa 8$ sahv ina $118
  10. King gorani

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Habari zenu wanajamvi, Mm ni mmojawapo wa watumiaji na wawekezaji wa sarafu za mtandao (cryptocurrency) pia ni mwajiliwa wa taasisi fulani, katika kipindi hiki cha bullish naona sarafu zinapanda sana na mimi sina mtaji wa kununulia. Ila nilikuwa nina wazo moja nahitaji nikachukue nkopo wa...
Back
Top Bottom