Recent content by King gorani

  1. King gorani

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kufutiwa baadhi ya posho kwa watumishi wa umma

    Kwakweli
  2. King gorani

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kufutiwa baadhi ya posho kwa watumishi wa umma

    Imerekebishwa
  3. King gorani

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kufutiwa baadhi ya posho kwa watumishi wa umma

    Mawazo tu maana nmekuta sehemu
  4. King gorani

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kufutiwa baadhi ya posho kwa watumishi wa umma

    Ni kweli ila utakuta huyo mtumishi anakatwa pay as you earn lakini pia nae Ana biashara huko anakatwa tena kama mfanyabiashara wa kawaida
  5. King gorani

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kufutiwa baadhi ya posho kwa watumishi wa umma

    Habari wana jf kuna hawa watumishi wa umma kwakweli ilibidi wafutiwe baadhi ya tozo unakuta mtumishi kwenye mshahara wake anakatwa kodi 240000 arafu kuna tozo zingine hizi nje ya ajira kwamfano kama akiwa na usafiri parking alipie ushuru akiingia stand alipie ushuru akinunua bidhaa anakatwa kodi...
  6. King gorani

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Niaje wadau kiukweli mm nina chimbo la fixed matches limelipata kuna jamaa mmoja mgiriki hivi anauza sure games ila ni pesa ndefu kidogo lakini jumanne nilimlilia sana kwamba nashida akanipa game 1 ina odds 10 correct score akanambia nistake more nikatatue shida zangu pia nipate pesa ya kumlipa...
  7. King gorani

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Ngorongoro wapo vizuri sana ila kuingia ngumu nimejaribu kuomba uhamisho karibu miaka mi5 mpaka leo sijafanikiwa
  8. King gorani

    JamiiForums Tanzania Waliokuwepo kwenye oral ya Mzinga corporation 29/12/2021 Morogoro vipi majibu bado jamani?

    😃😃mm nilikuwepo kwenye hiyo interview sahivi nina miaka 3 kazini ila chamoto nakiona bora ww uliekosa
  9. King gorani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Nilinunua cake kwenye 1.5 ninq coin 1200
  10. King gorani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Nilifanya jambo la maana sasa hivi nina faida ya dola 4600 niliweka dola 1800, nasubiri zifike dola 20000, nitoke sokoni
  11. King gorani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Nilifanikiwa, nashukuru now npo kwenye faida kubwa broo
  12. King gorani

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Sawa kaka hakika umenifumbua ila project zinajulikana
Back
Top Bottom