Recent content by King G jr

  1. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO ATCL na Mamlaka ya Anga Tanzania Jifunzeni kwa Mashirika ya Kimataifa mboreshe huduma zenu

    Miaka nenda rudi umeme wa kukatikakatika, wanachowaza kujaza matumbo yao tu, ukihoji unatekwa au kupewa kesi ya uhaini.
  2. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Maridhiano ni jambo la hiari sio kulazimishwa

    Ulevi na ulafi wa madaraka ndo maana hawajali, na wako tayari kufanya unyama wowote kusudi wabaki madarakani
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama yataifisha mali za mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu

    Mwenyezi Mungu atajibu kwa wakati sahihi
  4. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fortunatus Buyobe: Maisha yangu yapo hatarini, nawindwa na Askari wenye silaha za moto ambao pia wamevamia kwangu bila kibali

    Wanachokifanya watawala kwa sasa ni msiba mkubwa sana baadae. uasi ndani ya DR Congo haikuwa bahati mbaya, angalia somalia, njoo kwa Sudani katika nchi zote hzo haikuwa bahati mbaya kupigana vita vya wenyewe kwa wenyewe hata kama kuna baadhi ya nchi waasi wana ufadhili mkubwa nje ya mipaka yake...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ijue kampuni ya “Itel East Africa Limited” inayohusishwa na ufisadi nchini Tanzania

    Na ndo hivyo watu wakidai haki yao wanaambulia kutekwa, kuteswa bila huruma, kubambikiziwa kesi za uongo, kuuliwa kwa kupigwa risasi. halafu kajitu kalichoshiba maharage kwake kanakuja kuropoka mama anaupiga mwingi!!! Kwa kuteka watu, kubambikia watu kesi za uongo, na kuuwa watu wasio na hatia...
Back
Top Bottom