Nadhani jamiforum kuna viongozi wanasoma na kuzifatilia mada zinazotolewa humu sema tu kuna vichaa wachache wenye utoto ndani yao panaonekana hapawezi tatua hoja tulizo nazo kama vijana na WaTanzania kwa ujumla.Asante
Kibaha Mwanalugali hatuna Maji ya bomba, wanafunzi shule ya sekondari Mwanalugali pamoja na wananchi wenzangu wanachota Maji ya mto Mpiji. Unachimba shimo maji yatoke ndo uchote ni machafu sana tunapata shida watoto wanaharisha mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.