Recent content by king davido

  1. king davido

    Mke wa mtu kaniletea msala

    Hahaha wazee wa code
  2. king davido

    Maji Mwanalugali wilayani Kibaha ni tatizo

    Nadhani jamiforum kuna viongozi wanasoma na kuzifatilia mada zinazotolewa humu sema tu kuna vichaa wachache wenye utoto ndani yao panaonekana hapawezi tatua hoja tulizo nazo kama vijana na WaTanzania kwa ujumla.Asante
  3. king davido

    Maji Mwanalugali wilayani Kibaha ni tatizo

    Kibaha Mwanalugali hatuna Maji ya bomba, wanafunzi shule ya sekondari Mwanalugali pamoja na wananchi wenzangu wanachota Maji ya mto Mpiji. Unachimba shimo maji yatoke ndo uchote ni machafu sana tunapata shida watoto wanaharisha mno.
Back
Top Bottom