Mimi ninachokiona kwa wachezaji wetu.wanacheza kama wako mazoezin.Hawamsumbui golkpa kwa mashuti kwa maana yanakuwa machache golini .hata wapinzan wanapata nguvu ya kushambulia
Nashukuru sana,mtoto tulimpeleka hospitali maralia hana ,wakampima damu wakagundua kuna infection,kwenye kadi inasoma kijani yaani 7.7gm ,wakaniambia nimkazanie lishe maana anaonekana ana utapiamlo,macho yanaonekana ni meupe sana,nikawa nampa uji lishe'ndizi mbivu,yai na parachichi na wali tepe...
Mbona Hamnisaidii yaani kimya!mwenzenu nawaomba msaada wa ratiba ya lishe kwa mtoto wamiezi kumi na moja sasa na ana damu pungufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada wa haraka kwa kunipatia ratiba ya wiki yaani j3 hadi j2 niweze kumpangia ni lishe gani itakayo msaidia.
nawasilisha ombi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naombeni msaada mwanangu anasumbuliwa sana,
Mwili hadi kichwani kinakuwa na moto iwe wakati wa joto au wakati wa baridi hali inabaki ileile, tumetumia panado kila siku kushusha joto lakini haimsaidii.
Naomba msaada kuondoa hili tatizo la muda mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu dr, naomba msaada mke wangu bsdo mwezimmoja kujifungua ila ameanza kukooa kooa na pia tumbo hua linamuuma.
Hi ni kwasababu gani na dawa yake ni ipi,
Dr ,natumaini umeamka vyema,mimi shida yangu unisaidie kwa mke wa mimba ya kwanza ya mwezi mmoja,Nitumie utaratibu gani maana tumbo linamuuma kila dakka na pia ni chakula gani kinachomfaa zaidi.!Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.