Recent content by Kinaeleweka

  1. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe

    Tumia akili.Hapa tunaongelea mqtumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya maji ya kunywa katika kutibu Vidonda vya Tumbo na Bawasiri

    Hongera sana mzee kwa kulifanikisha hilo.Sio wengi wanaweza kufanya hivo na jakika kuna magonjwa mengi uneyaepuka Ushauri mzuri mjuu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya maji ya kunywa katika kutibu Vidonda vya Tumbo na Bawasiri

    Ni maji haya haya ya kunywa mkuu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya maji ya kunywa katika kutibu Vidonda vya Tumbo na Bawasiri

    Hakika mkuu,ni kuto kufahamu.Kuna jamaa yangu alifanyiwa operation ya Bawasiri na bado tatizo likaendelea kumtesa.Nilivompa ushauri wa kunywa maji kila siku hajalalamika tena hilo tatizo
  5. K

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya maji ya kunywa katika kutibu Vidonda vya Tumbo na Bawasiri

    Uko viruri sana mkuu,hakika utakuwa shuhuda wa huu uzi
  6. K

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya maji ya kunywa katika kutibu Vidonda vya Tumbo na Bawasiri

    Poleni na majukumu mbalimbali ndugu zangu, Bila kuwapotezea muda,napenda kutoa ushuhuda juu ya umuhimu wa maji ya kunywa kama tiba katika kutibu tatizo la Vidonda vya tumbo na Bawasiri. Tatizo la vidonda vya tumbo,kwangu lilikuwa ni la zaidi ya miaka mitano ,licha ya kujitahidi kutumia dawa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Yu wapi Msanii 'Mzalendo' aliyeimba wimbo wa Nasogea Golgotta

    Habari ndugu zangu, Nakumbuka kipindi cha mwendazake,awamu ya kwanza kulikuwa na msanii aliyejulikana kama Mzalendo aliyeimba wimbo wa Nasogea Golgotta. Nilitegemea wasanii wasimame kutetea rasilimali za taifa na hasa katika sakata linaloendelea la Mkataba katia ya DP world na Tz kuhusu...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mliofanikiwa kutoa Zaka asilimia 10% ya vipato vyenu mmewezaje? Binafsi naishia kusaidia 2% hadi 4%

    Haitoshi kusaidia tu wahtaji mkuu.Sadaka na Zaka ni muhimu pia
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mliofanikiwa kutoa Zaka asilimia 10% ya vipato vyenu mmewezaje? Binafsi naishia kusaidia 2% hadi 4%

    Sio kazi yako kuchunguza mkuu.Timiza wajibu wako kwani kila mtu atahukumiwa mwenyewe
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mliofanikiwa kutoa Zaka asilimia 10% ya vipato vyenu mmewezaje? Binafsi naishia kusaidia 2% hadi 4%

    Ebu mjaribu Mungu wako kwa kutoa zaka kamili na umwombe shida yako uone kama hutojibiwa
Back
Top Bottom