Recent content by kimyakitu

  1. K

    Ukweli hukuacha huru

    Unajua ukweli ni uhalisia wa kitu,jambo fulani leo hii nashangaa sana Kwa nini tumekua na mitizamo tofauti juu ya jambo ambalo ni FACT wapo wanaotetea na ku decorate na cover-up ili kupindisha ukweli lakini UKWELI UPO na umebaki vilevile,wapo wanaotetea Kwa ujinga na maslahi yao binafsi lakini...
  2. K

    Vita hivi ndugu zangu Gen Z siyo rahisi kama tunavyofikiria

    Icho ni kichwa au water dispenser ya mate 😂
  3. K

    PostGE2025 Hotuba ya Rais Samia uzinduzi wa Bunge la 13 imejikita kuwainua vijana

    Hayo maneno hata kwenye khanga yapo tu nahitaji uwajibikaji kwanza inatakiwa akili kwamba hajachaguliwa na wananchi
  4. K

    PostGE2025 Marehemu hasemwi ila Hayati Magufuli haya ndio mabaya uliyotuletea japo una mazuri yako

    Utawala wa Magufuli aliondoa kabisa uwizi wa kura akareplace uizi wa mchakato rejea uchaguzi wa 2020 na huu wa 2025 vituo vilikua havina watu pia kura nyingi ziliharibiwa lakini wakaja na matokeo yao nje ya karatasi zilizopigwa
  5. K

    Kwanini kihistoria Simba SC huwa kwa 99.999% ina bahati sana ya kutoa Maspika wa Bunge Tanzania?

    Ivi ww umefikiria nn kufikiri icho kichwa unakitumia kama water dispenser ya mate nn Mbona vijana mawazo ya kijinga ivii
  6. K

    Sipo tayari kuandamana tarehe 9 bila silaha ya moto, Bora nilale

    Duniani watu tunaangalia ni impact gani umeacha kufa ni Kwa kila mtu omba usiwe kati ya wale waliokufa jana na ww ambaye upo hai leo hii tofauti isiwe kujaza choo tuu ,maisha utakumbukwa Kwa legacy so usiogope kufa kwenye mambo ya msingi ukaja kufa sababu ya ulevi au uzinzi
  7. K

    PostGE2025 Jenifer Jovin maarufu 'Niffer' afikishwa mahakama ya hakimu mkazi Kisutu leo Novemba 7,2025

    Wamefeli wap hiv unajua impunity ww hawa wameamua tuu kufanya ogopa sana nchi isiyofuata utaratibu wa sheria
Back
Top Bottom