Serikali Jana tar 30 June 2015 ilitangaza rasmi majina ya wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na kidato cha tano
kutokana na Hali ilivyo wanafunzi wengine wamepangwa shule ambazo hata hawajawahi kuzisikia masikioni mwao
Nimejitokeza kufanya msaada kama unahitaji msaada wowote kwa shule...
Nahisi Muda wa kusaidia watu umefika
Mwaka ulopita tulifanikiwa kusaidia japo Ilikua kwa uchache
Niulize kuhusu shule zifuatazo
Mara secondary
Musoma technical
Songe secondary
Chief ihunyo sec
Kibondo girls
Isimila
Loleza
Benjamin William mkapa
Iringa girls
Na maswa girls
Karibuni sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.