MM umeshachelewa, hebu turudi nyuma kidogo tujikumbushe. Slaa angegombea Chadema, Prof. Lipumba angegombea Cuf, unataka kutuaminisha tungeshuhudia haya tunayoyaona sasa? Hakika nchi ingekuwa na wapinzani wa kudumu ambao kamwe wasingeweza kuleta mabadilko yoyote. Bora hali iliyopo sasa.:redfaces:
Safari hii itakula kwa makamu wa raisi kwani siku ya kutangazwa goli la mkono hatakuwepo. ICC nyeupeee kwa makamu wa rais kwani ndiye atabakiwa na majukumu yote.
kiapo chake kilikuwa cha kulinda maslahi ya wengi kwa uadilifu mkubwa. Mfumo ulioingia baada ya mwalimu Nyerere kuondoka madarakani kwa kuanzishwa kwa azimio la Zanzibar ndio unaowafunga viongozi wote wa CCM kutokutekeleza viapo vyao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.