Unaendelea na utafiti wa dawa yenye uwezo wa kuua hawa wadudu? Wewe si mwandishi wa habari? Ulichoandika hakionyeshi wewe ni mtafiti na kutudanganya unaendelea na utafiti wacha. Tuombe wizara ya kilimo itutolee tasrifa ya aina mpya ya viwavi wanaosemekana kuingia nchini kuanzia nyanda za juu...
Jamani jamani mnasema serikaki ilitoa muda wa kutosha mna uzoefu na biashara? Mtu ana shehena ya bilioni moja inauzika kwa muda gani. Haya sasa haikuuxika yote bado iko godown. Wataalam wa nchi hii viherehere wanakuta hii shehena wanaanza kutsfuta sifa eeee tumegundua.... Tumekamats.....hivi...
Angepata changamoto za maisha namna hiyo hangedhalilisha watu katika utawala wake kiasi hicho kama alivyofanya kwenye mikutano yake na wananchi wa dsm. Mpendazoe unatafuta ukubalike ccm lakini gia hii achana nayo pamoja na njaa uliyonayo. Bora ukafagie ofisi lumumba kimyakimya.
Sasa hivi watanzania tunaugua ugpnjwa unaoitwa diploma disease ya kufikiria kwamba utendaji wa mtu unahusiana na cheti cha darasani sasa tunajikuta tunadai huyu proffesor si lolote si chochote kumbe ni proffesor wa physics au chemistry na alitakiwa afunfishe watoto wetu chuo kikuu lakini...
Ile club ya watanzania zimbabwe inaendeleaje? Kama ungeenda pale ungekutana na watanzania wengi ungekula nyama choma na hayo uliyoona wangeweza kukufafanulia. Napapenda club ya watanzania zimbabwe. You will really feel at home. Huko ubalozi kuna wenyewe nako
Nawashauri DAWASCO wahakikishe ujazo wa haya magari ya majitaka na wahakikishe yameandikwa kwani huwa wanawadanganya wateja. Yalipie yakaguliwe na kuandikwa ujazo kama malori ya mchanga yanavyofanya.
Tumechoka kuibiwa na tunaomba iwepo bei elekezi kwa ujazo.
Figo hufanya kazi ya kuondoa maji ya ziada mwilini na kunywa maji mengi kupita kiasi ni ku- overwork figo. Kunywa maji kukata kiu. Jarida moja la sayansi ls marekani nolilospma lilionya juu ya maneno ya mitaani ya kunywa maji mengi kupita kiasi. Fuata ushauri wa daktari!
Huu siyo mwanzo wa kutengeneza ukabila nchini kweli? Ni vizuri kuongea kilugha na wsnanchi ila sioni umuhimu ws kutangazia taifa zima ndo maana wengine wanauliza alisema nini. Nusu ya hotuba kwa kisukuma? Inatuhusu nini tusiyo wasukuma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.