Hivi leo wafanyabiashara wote wakiamka asubuhi na kukataa kulipa kodi ikiwa ni mgomo kufuatia kashfa hii nani atatakiwa kulaumiwa? Jersey serikali itawashtaki?
Kilichoandikwa kina mantiki kabisaaaa kwani Mwakyembe aliulizwa swali bungeni kuwa kwa nini alisaini mkataba wa siri yeye akajitetea kuwa alisaini Memorandum of understanding ili kumwezesha muwekezaji huyo aka tafuta fedha na kwa jinsi nilivyosoma hapo juu kuna kila dalili ya harufu ya rushwa na...
Amini nawaambia Rished Bade,kamishna wa TRA atazaa nae make huyo jamaa yuko serious na kazi yake na hamwogopi mtu kwa kifupi ni mtu mwenye international exposure na amekulia katika private companies which means si mshabiki wala hajui siasa mtakuja niambia labda rais amtoe
Acha ujuha wewe,angalia kwenye karatasi yako ya luku ndo uongee,kila unaponunua umeme unakatwa 3% ya REA,hata hivyo kufikisha umeme ni wajibu wa mtoa huduma kwani sio kwamba umeme ni bure umeme kwa sasa Tanzania ni ghali sana kama hununui basi muulize baba yako
Duh,kweli mafisadi wanaichezea nchi hii,where on earth nchi nzima umeme unazimwa for no reason,na hao viongozi still wanaendelea kufanya kazi! Lol.... kwa aliyewahi kuona movie ya 24 ataamini ninachokisema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.