Recent content by Kimenuka

  1. Kimenuka

    Nitamuunga mkono Benard Membe 2015 kama akioteshwa kugombea urais wa Tanzania

    Katika chama tawala kuna mtu ambae ni mwadilifu au unajikosha kwasababu ambazo watanzania hawazijui?
  2. Kimenuka

    Siri yafichuka: Picha ya Mwigulu Nchemba na mgombea udiwani wa CHADEMA Elerai

    Mimi Kama Mimi naishangaa sana serikali ya Tanzania kwa mbinu zao chafu. Swali la kujiuliza na naendelea kutafakari lakini sipati jibu haswa kwa viongozi magoi goi tulionao. Nashanga kwanini wanatumia muda wao mwingi kutumia peas na maarifa ya kipuuzi yasio kuwa na msingi wowote. Kila Waikato...
  3. Kimenuka

    Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho

    Swali Lako ni sawa nakumuliza mwanaume kuwa niko single sijaoa na sina mwananke katika Maisha yangu, wote niliokutana nao ni malaya hivvyo naomba mnichagulie mke.
  4. Kimenuka

    Nape Nnauye: Sheria ya vyama vya siasa nchini iangaliwe tena

    Huna lolote... Naona unatumia makamasi badala ya ubongo. Yani hata mtoto aliezaliwa Leo anajua ccm ni ya kutupilia mbali. Wanyonyaji wakubwa..
  5. Kimenuka

    CHADEMA: Usalama wa Taifa unatengeneza Ushahidi katika kesi ya Lwakatare

    Jamani naombeni kuliza swali moja, hivi ccm a.k.a ( Chama Cha Majambazi) kama wangekuwa wanatumia nguvu nyingi kuleta maendeleo na kutetea wanyonge Kama wavyotumia nguvu nyingi na hela za walipa kodi kuangamiza chadema na viongozi wake je nchi yetu ingengukuwa wapi Leo hii? Nadhani hawa viongozi...
  6. Kimenuka

    Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

    Serikali ndo inaendekeza huo uozo. Kama mwanaume anakula mmbwa na Mimi unataka Nile pia....? Kama nakula paka niache nile paka na wewe Kama unakula mmbwa endelea kula mbwa tusilazimishe upande mmoja ufuate upande mwingine. Pili sioni sababu yakulazimia uchinjaji. Wakristo ni wengi kuliko...
  7. Kimenuka

    Ahsante sana CCM kwa kunikubalia ombi langu la kuwa mwanachama mpya wa CCM!

    Kama waliokutangulia wameshindwa kuleta maendeleo je wewe utaweza? We ni ------ tu huna lolote!!!
Back
Top Bottom