Mawakala wa mashwetani utawajua tuu. Kutokuja kwao kwenye ufunguzi kumeathili nini sasa??. Wanaona aibu maana njama zao tushazing'amua mapema. Hata huyo kuwadi wao walidhani atakamatwa wakati wanamsindikiza, serikali haina tyme na kichaa. TUNA CHAPA KAZI TUU. VIVA T2020 JPM, KAZI INAENDELEA
Hivi, mzungu ndiyo nani. Sawa hawakuonekana wapo wamamtongoza TRUMP achie kiti maana 20 January 2021 nikaribu asije aibisha duniani. So after all kwetu uchaguzi umekwisha tunafikiri namna ya kupata wawekezaji wa HELIUM, our dream to be a DONA KANTRI sasa inakaribia kutimia.
Mtasubili saaaaana kuingia ikulu. Hao nao watarajia wafungue kesi walishashindwa hata kabla ya kufungua. Wamebaki wanabweka kama jibwa, na sisi hatuwarushii mawe tunasonga mbele. VIVA T2020 JPM KAZI INAENDELEA
Imekwisha hiyo, jipange upya. Utakalia kulia lia nyuma ya keyboard haitakusaidia, anza kuchapa kazi we muntu ya babati. Anza kulima maharage upeleke kuuza viwandani, maana ile ndoto ya tanzania ya viwanda inatimia chini ya jemedali wetu TZ 2020 JPM
Kwa taarifa yako mwaka huu gase ya HELIUM ya...
Maendeleo hayawezi kuja pasipokuwa na miundombinu mizuri ya kurahisisha kazi za kila siku za kibinadamu. Ili binadamu aweze kuendelea anatakiwa kutengenezewa nyenzo rahisi za kuweza kumfikisha mahali anapostahili kwa mfano, barabara, shule, hospital n.k.
Hivyo maendeleo ni 1. VITU...
Akapanda na mabasi ya mwendo kasi, akapita ubungo interchange, tazara flyover, kigamboni, huko kote alikuwa akisonononeka kwa alivyokuwa akimtukana na kumkashifu huku akitoa machozi ya furahaa na kusema moyoni dah ama kweli huyu JPM ni jiwe lilokataliwa na waashi, lakini ndiyo limekuwa jiwe...
Ndiyo, sasa kwa wale waliopata dharula wasipige kura? waweke utaratibu na sisi ambao tumehama tupige kura japo ya rais tu, diwani na mbunge tuwaachie wenyeji
Mh. Mwenyekiti wa NEC, kuna kura ambazo zitakosekana/zitapungua kwenye ushindi wa kishindo kwa Rais wetu Mpendwa JPM. Kwa kweli ninaumia sana kwa kura yangu kupotea. Naomba mtuwekee utaratibu wa wapiga kura ambao wamehamishwa vituo hivi karibuni na wanafunzi waliokwenda kuanza vyuo na shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.