Recent content by KIMBILIO LA WANYONGE

  1. KIMBILIO LA WANYONGE

    Sweden na Finland sasa hivi kuna njaa kali, msijisumbue kutamani kuja

    Ulaya imejaa wahamiaji haramu kwa sasa kila muafrika/muAsia anakimbilia huko na kuwajaza ndugu zake, oyaa weeh kwa sasa machimbo yamebadirika tuende na muda jamani... Tusikalili maisha mbona hatufuatilii habari
  2. KIMBILIO LA WANYONGE

    Wasaidizi kufungua biashara ndani ya biashara kunaua biashara nyingi sana, kijana anadai mshahara kila mwezi kumbe anakuibia mamilioni.

    Unampa kazi kijana kwenye hardware yako na yeye anaunda hardware yake vichochoroni huko, huku duka lako analigeuza stoo yake ya kujichotea bidhaa za bure kwenda kwake. Ngumu sana vijana kuaminika ktk biashara, tamaa+haraka ya maisha inaendelea kuangamiza ndoto za vijana wapumbavu. 2026...
  3. KIMBILIO LA WANYONGE

    Moja ya kosa kubwa vijana wa 20s wanafanya ni kufikiri wao ndio wahusika wakuu katika stori ya kila mtu hadi wana sahau kuongoza stori zao wenyewe

    Na ndiomaana nimerudi tena JF kwa madhumuni ya vijana wenye mindset za namna hiyo...wawe tayari moto nauandaa kwa ajili yao
  4. KIMBILIO LA WANYONGE

    Ulifanyaje Ulipogundua Mpenzi Wako Amekusaliti?

    Wengi humu wanaeleza visa vya kawaida sana. 🚨.Nikipata muda nitakuja na Andiko langu la kuufungia mwaka
  5. KIMBILIO LA WANYONGE

    Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    MIMI PIA DALALI wa mahusiano na mapenzi ya aina zote.. unatafuta mshangazi, mubaba, Boyfriend/Girlfriend wa show time unapata, ZAMA PM kwa huduma Nchi nzima nina wakala ushindwe wewe tu. Hii ni fursa ya mitandao tunaitumia kuwaunganisha watu na kuokoa muda unapotezwa kusumbuana na mahusiano...
  6. KIMBILIO LA WANYONGE

    Nilishawahi kuumbuka kwa mwanamke nisiemjua vizuri ila kwa sasa ndie mke wangu

    Nje ya mada Mamoderators achieni UZI wangu niliouandika hauna uvunjifu wa Sheria zozote hapa JF na ulikuwa mahususi lwa watu aina ya mtoa MADA na wengine aina yake .
  7. KIMBILIO LA WANYONGE

    Mwaka mpya, fursa mpya. Tuchukue hatua kupata matokeo

    SALAMU ZENU?? Hii thread ni ndefu ila we isome tu uimalize kwa manufaa yako 📢📢.HAYA kwa zaidi ya miaka 17 niliyokuwepo Jamii forum nimejifunza mambo mengi sana, nimekutana na mawazo ya kila aina, watu wenye mitazamo na maoni ya kila aina, fursa za kila aina na ndipo nikagundua kumbe watu ni...
Back
Top Bottom