Politics is game of maneuver and chances, hakunaga adui wa kudumu!
Kama CDM mlivyo na ndoto ya kuendelea kuwa chama kikuu cha ulinzanj, ACT na vyama vingine wanahitaji kupata nafasi hiyo ikiwezekana kushika dola!! Hivyo kama chama cha siasa lazima wafanye political maneuver na watumie kila fursa...
Naona mnaanza kuingia kwenye mtego wa CCM! Lissu is ascending bcoz CCM wants him to, it is for special purpose!
Be careful with your steps! Ghalama ya umarufu wa Lissu ni kubwa mno kwa CDM.
CCM haipo hadi leo kibahati mbaya, ni kwa sababu ina majitu yenye akili sana nyuma ya pazia!!
Ha ha ha ha, siasa ni maisha, siasa ndo kila kitu, ukiweza kuzicheza vzr bac mambo yako yatakunyokea tu!
Hawa ni magwiji ambao wamekuwa mahili sana ktk kuzicheza turufu zao kwenye siasa zetu wkt wa JK na sasa kwa JPM!
1.Mohammed Dewji!
Huyu jamaa wkt wa JK ni kati ya watu walioshine sana hasa...
Ww utakuwa u amalizia akiba yako ya viroba, sasa unajiuliza maswali na kujijibu, kwani mm nimekwambia mama yako ndo anatoa Nchi, learn to read btn lines we mwana wa Serengeti!
Yaani hawa watu ukiwafikiria huwez pata majibu, Lissu ni mbunge na Mnadhimu mkuu wa CDM eti yeye kugombea Urais TLS siyo kupandikiza watu, ila wengine wanapandikizwa!
Kwa akili hizi hamuwezi hata siku moja kupewa Nchi hii muongize!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.