Wabuyaga umezungumza kitu kizuri sana,ingawa mimi sio ukawa Lakini huwa najiuliza hivi hawa wapinzani wasingekuwepo nchi yetu hii ingekuwaje hii leo?Ki ukweli wamefanya kazi kubwa sana ya kuiamsha serikali yetu.binafsi nitapigia upinzani kwenye ubunge ili wakaongeze nguvu ya kuisimamia serikali...
Mmiliki wa mwanamboka ni Salum Saad Said Ally. huyu Saad said Ally ni mtoto wa huyu Salum Saad.Khadija mwanamboka na Nassoro ni watoto wa kaka yake Salum Saad Ally Ambae anaitwa Said Saad Ally.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.