Recent content by KIMAMASIMA

  1. K

    Mfumo wa Mishahara Mwisho wa Mwezi Umepitwa na Wakati Serikali Ijipime!!

    Ni msingi wa maendeleo mkuu kwa saba2 mfanyakazi atakapolipwa weekly kumbuka hatakuwa na madeni yasiyo ya lazima ambayo anayapata kila mwezi pia kama ni ujasiria mali basi ataweza kufanya na kujipatia kipato.
  2. K

    Mfumo wa Mishahara Mwisho wa Mwezi Umepitwa na Wakati Serikali Ijipime!!

    Mkuu wazo lako ni zuri wito kwa wana jf ni kuwa keen wakati wa kujadili inshu kama hii kwani ni msingi wa maendeleo kama selikari yetu itachukuwa maamuzi magumu!
  3. K

    Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

    Mkuu mjadala uko sawa makamanda waendelee kupigania ukombozi wa wtz na taifa kwa ujumla
  4. K

    tatizo la kukosa usingizi mama mjamzito....

    Kwanza hongera mkuu naomba nikuulize swali mama hiyo mimba ni ya ngapi?
  5. K

    CHADEMA kuanza ziara Mara

    Wakimaliza mara tunawakaribisha simiyu makamanda
  6. K

    Usiri wa afya za wanasiasa unakwamisha jitihada za kuutokomeza ukimwi!

    Mkuu hapo umeeleza kweli kwani hamana kiongozi hata mmoja ambaye amewahi kulipotiwa kufariki kwa ugonjwa huo!
  7. K

    Chadema ni msingi muheza kumekucha!

    Magamba wamepata wagombea kweli?
  8. K

    Hivi kama gharama za maisha ndiyo hizi, watanzania tutaishi?

    hutakiwa kuchoka mkuu kwani mkombozi wa maisha yako ni wewe mwenyewe
Back
Top Bottom