Ni msingi wa maendeleo mkuu kwa saba2 mfanyakazi atakapolipwa weekly kumbuka hatakuwa na madeni yasiyo ya lazima ambayo anayapata kila mwezi pia kama ni ujasiria mali basi ataweza kufanya na kujipatia kipato.
Mkuu wazo lako ni zuri wito kwa wana jf ni kuwa keen wakati wa kujadili inshu kama hii kwani ni msingi wa maendeleo kama selikari yetu itachukuwa maamuzi magumu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.