asante mkuu nimeelewa vizuri lakini kwa uchunguzi wangu nimegundua kuwa jingereza kinakuwa kingi sana sasa kama mtu haelewi anatumia njia ipi ili aweze kuagiza mzigo mfano huko alibaba
asante, mimi natafuta nyumba maeneo ya bugurunui Malapa, Rozana,sheli au msaada gejeji, yenye upande wenye vyumba 2 na sebule na choo na jiko. bajeti yangu ni laki na 30000.
wanajamvi, habari hata mimi ninahitaji upande wenye vyumba 2 na sebule choo na jiko kwa bajeti ya 130000.ila napendelea maeneo ya buguruni ni rahisi na kazini kwangu. asante
samahani, ila nimeona google kuna jamaa anadesign ID kwa kutumia id card ms word nimeona ni rahisi sana but nimejaribu kuitafuta niidownload siwezi je unaijua hiyo? unaweza nipa maelekezo jinsi ya kuipata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.