Recent content by kilondo

  1. K

    Viongozi Wengine Duniani Waliopata zaidi ya 90% kwenye Uchaguzi

    sawa sasa.....mnajua ukweli kuhusu democrasia na siasa ya vyama vingi...ni nini kinafuata?
  2. K

    Taarifa potofu kuhusu wahisani 10 kusitisha misaada yao kwa Tanzania

    Ramli ya wazi..ni kama hii.umekwenda kwa mpiga ramli akakuuliza kilichokupeleka kwake ukamsimulia tena kwa hisia nzito kuhusu tatizo lako..akakulengesha kwenye jibu lililotokana na maelezo yako..kuna shida gani hapo kwamba jibu halikuwa sahihi....na ukaanza kulaani kuhusu hiyo Ramli...nadhani...
  3. K

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    ninawashauri voda ni bora mkaanzisha suggestion box yenu kwa mtandao wenu ambayo itakuwa active through out..mkawasiliana na mteja faragha kuliko hii thread inaweza kutumika vibaya kuwaharibia biashara..mtakuwa followers soon kwa matatizo yenu kuanikwa hapa..
Back
Top Bottom