Naombeni ushauli . Nina mtoto anaekalibia kufunga miaka miwili.. Usiku hua anasumbua sana yaani analia lia hovyo na tabia kainza kama mwezi hivi na anakuwa na hasila kali hataki mtu yoyote amshike iwe mimi baba yake au mama yake. Je atakuwa anasumbuliwa na ndoto mbaya ? Ama nimakuzi tu ya mtoto
Habari za masiku wandugu hivi mtoto akiacha ziwa anakuwa analia lia hovyo alafu hataki kubembelezwa yani anakuwa mwenye hasila kali au kuna mambo mengine yanaendelea
Habali za masiku humu ndani. Naja tena kunachangamoto imemkuta mwanangu wa Mwaka Mmoja na Miezi minne. Ametoka utando mweupe kama maziwa ziwa kwenye ulimi, Mashavu na mpaka mdomoni. Nani mwenye kujua tiba yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.