Recent content by Kilimo Faida

  1. K

    Tanzania ya Vi-wonder

    Asilimia 40 ya mazao yanayovunwa Tanzania, yanaharibika kabla ya kumfikia mtumiaji kwa kukosa vifaa vya kuhifadhi mazao lakini pia kwa kukosekana viwanda vya kusindika. SIDO wako wapi na wanafanya kazi gani?
  2. K

    Msaada wa Wataalamu wa Kilimo na Ufugaji!!!

    Habari Wakuu, Natafuta taasisi au watu binafsi mwenye utaalamu wa kilimo au Ufugaji ambao watakuwa tayari kutoa Elimu kwa watu wenye interest ya kulima mazao mbalimbali au kufuga mifugo mbalimbali. Elimu na ushauri huu utakuwa kupitia mtandao na lengo ni kuwafikia na kuwasaidia wengi zaidi...
  3. K

    Kuuza na kununua mazao kwa uharaka na malipo sahihi!!!

    Ni kweli, lakini sio kwa mazao yote, mazao mengi hayana vizuizi na bado watu wanashindwa kupata soko kwa kukosa taarifa sahihi
  4. K

    Kuuza na kununua mazao kwa uharaka na malipo sahihi!!!

    Wadau wa kilimo tumekuwa tukipata changamoto katika kununua au kuuza mazao kwa wakati na bei sahihi. Zifuatazo ni sababu mbali mbali: Wauzaji/wakulima 1. Kukosekana kwa taarifa sahihi za wanunuzi na mahitaji 2. Kutokujua maeneo yenye uhitaji zaidi wa mazao 3. Bei ndogo kutoka kwa wanunuzi...
Back
Top Bottom