Recent content by Kilimbatzz

  1. Kilimbatzz

    Kocha wetu hana uwezo wa kufundisha Simba

    Aahaaaaaa,umenikumbusha mbali sana aisee
  2. Kilimbatzz

    Kocha wetu hana uwezo wa kufundisha Simba

    Labda alikuwa Hana mambo ya 10%
  3. Kilimbatzz

    Kocha wetu hana uwezo wa kufundisha Simba

    Tushawaambia timu wampe Mgunda wanatuona hatuna jema na timu yao
  4. Kilimbatzz

    Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

    Ila najua hapa unaturembaremba,najua umetuandalia comeback ya kijanja sana Ukiona GENTAMYCINE anaukusifia ujue na mawe yakukupopolea hayapo mbali
  5. Kilimbatzz

    Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

    Kumbe unanitambua Mimi kama hawara Yako Very nice Nipe kijambio chako basi nitolee gundu
  6. Kilimbatzz

    Siipendi CCM na watu wake ila Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mara namheshimu sana!

    Kuna muda ukiwa ujavuta Bangi unaandika vitu sensible sana
  7. Kilimbatzz

    Naomba bei elekezi ya iPhone 15 plus 128GB

    Aahaaaa,poa mkuu nitakuja hapo knyama
  8. Kilimbatzz

    Naomba bei elekezi ya iPhone 15 plus 128GB

    NI kweli Ila hiyo Hela mbona ndogo sana mkuu,nikiuza gunia zangu za mahindi 20 tayari nimeshaipata mbona Nimeyatunza kule Meatu Simiyu Kwa sasa kule gunia moja lipo kati ya 110k Hadi 120k,nikiuza magunia 30 tayari nishainunua hiyo simu
  9. Kilimbatzz

    Naomba bei elekezi ya iPhone 15 plus 128GB

    Used tena!?? Wakati hata wiki haijaisha tangu imetoka!!! 🙆🙆🙆🙆🙆🙆
Back
Top Bottom